stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,832
- 22,940
Umenena vyema,kinyume cha hapo uwe karibu sana na Mungu na kumuomba akujalie hekima na busara ili uweze kuwa na ndoa yenye amani.LAKINI all in all, wanawake kama wanawake naona sio shida ,shida ni wengi wao kutokuwa karibu na Mungu kitendo kinachomruhusu shetani kuwatumia kuvuruga nyumba.Nimeshuhudia katika mikutano mingi ya maombezi wanawake ni wengi sana wanakutwa na mapepo,kuna wachache wanaojuwa kuwa wanayo ila wengi wanakuwa nayo bila ya kujijua na hayo ndio mavurugaji makubwa ya ndoa za watu...Kuishi na mwanamke kunahitaji moyo sana, kama unaweza ni bora usioe kabisa