Mwanajeshi Arusha matatani kwa mauji ya Mkewe ,adaiwa kunyonga na kwenda kunywa bia

Waziri2025

Senior Member
Sep 2, 2019
148
379
Mwanamke aitwaye ,Surajeni Tairo(30)ambaye ni mke wa mwanajeshi ,Alfred Maganga mkazi wa Muriet ,jijini Arusha,anadaiwa kufa katika ugomvi na mumewe na mwili wake kukutwa na majeraha kadhaa shingoni na kichwani huku mumewe akidai amejinyonga.


Utata huo umekuja pale ndugu wa marehemu walipouona mwili wa marehemu ukiwa majeraha hayo na kutilia shaka tukio hilo ambapo walidai kwamba ndugu yao hakujinyonga bali ameuliwa kikatili na Mwanajeshi hiyo


Akizungumzia tukio hilo kaka wa marehemu aitwaye Benedict Tairo mkazi wa Sanawari jijini hapa amedai kuwa siku ya tukio septemba 1,mwaka huu majira saa 11 jioni na alipigiwa simu na mtu mmoja aliyejitambulisha kuwa ni mwanajeshi kuwa mdogo wake amejinyonga.

Baadhi ya majirani na marehemu jina( limehifadhiwa)wamedai kuwa siku ya tukio walisikia ugomvi kati ya marehemu na mwanajeshi huyo na kwenda kuamua na baadae waliondoka na kuwaacha wakiwa ndani wamejifungia.


Jirani huyo alisema kuwa baadae walimwona mwanajeshi huyo akitoka nje kuelekea dukani na wakati akirejea alikuwa ameshikilia chupa ya bia mkononi.


"Tukiwa nyumbani mwanajeshi huyo alikuja na kutuambia kuwa mke wake alikuwa amejinyonga na kama atakuwa amekufa nipatieni kisu na mimi nijiue"amesema jirahi huyo.


Kaka wa marehemu amesema kuwa Septemba 3,mwaka huu siku ya jumanne mwili huo wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi na daktari wa hospital ya mt.meru aitwaye Alex Mtei kwa kushirikiana na askari polisi na ndugu wa familia ,hata hivyo matokeo ya uchunguzi huo hayakufahamika.


Mapema leo katika chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya Mount Meru daktari bingwa aliyebobea katika masuala ya uchunguzi wa vifo vyenye utata ,dkt Alex Mremi kutoka hosptali ya rufaa ya kcmc alifika ili kuufanyia uchunguzi mwili huo lakini wanajeshi waliokuwa wamefurika katika chumba cha maiti walimjia juu na kulazimika kuondoka bila kuufanyia uchunguzi mwili huo





IMG-20190905-WA0006.jpeg
 
Poleni sana wafiwa.
Mwanamke aitwaye ,Surajeni Tairo(30)ambaye ni mke wa mwanajeshi ,Alfred Maganga mkazi wa Muriet ,jijini Arusha,anadaiwa kufa katika ugomvi na mumewe na mwili wake kukutwa na majeraha kadhaa shingoni na kichwani huku mumewe akidai amejinyonga.


Utata huo umekuja pale ndugu wa marehemu walipouona mwili wa marehemu ukiwa majeraha hayo na kutilia shaka tukio hilo ambapo walidai kwamba ndugu yao hakujinyonga bali ameuliwa kikatili na Mwanajeshi hiyo


Akizungumzia tukio hilo kaka wa marehemu aitwaye Benedict Tairo mkazi wa Sanawari jijini hapa amedai kuwa siku ya tukio septemba 1,mwaka huu majira saa 11 jioni na alipigiwa simu na mtu mmoja aliyejitambulisha kuwa ni mwanajeshi kuwa mdogo wake amejinyonga.

Baadhi ya majirani na marehemu jina( limehifadhiwa)wamedai kuwa siku ya tukio walisikia ugomvi kati ya marehemu na mwanajeshi huyo na kwenda kuamua na baadae waliondoka na kuwaacha wakiwa ndani wamejifungia.


Jirani huyo alisema kuwa baadae walimwona mwanajeshi huyo akitoka nje kuelekea dukani na wakati akirejea alikuwa ameshikilia chupa ya bia mkononi.


"Tukiwa nyumbani mwanajeshi huyo alikuja na kutuambia kuwa mke wake alikuwa amejinyonga na kama atakuwa amekufa nipatieni kisu na mimi nijiue"amesema jirahi huyo.


Kaka wa marehemu amesema kuwa Septemba 3,mwaka huu siku ya jumanne mwili huo wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi na daktari wa hospital ya mt.meru aitwaye Alex Mtei kwa kushirikiana na askari polisi na ndugu wa familia ,hata hivyo matokeo ya uchunguzi huo hayakufahamika.


Mapema leo katika chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya Mount Meru daktari bingwa aliyebobea katika masuala ya uchunguzi wa vifo vyenye utata ,dkt Alex Mremi kutoka hosptali ya rufaa ya kcmc alifika ili kuufanyia uchunguzi mwili huo lakini wanajeshi waliokuwa wamefurika katika chumba cha maiti walimjia juu na kulazimika kuondoka bila kuufanyia uchunguzi mwili huo





View attachment 1199113
 
Duuh Rest In Peace Surajeni


























Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Morogoro
 
Tafsir ya huku wanateteana huku wanakandamizana

Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli damu ya mtu Ni mbaya Sana ukiua jua nawe siku utauliwa tu au kujiua.

Hao Wanao mtetea nafs zao zitawauma na mwisho wa siku atakamatwa tu.
 
Mwanamke aitwaye ,Surajeni Tairo(30)ambaye ni mke wa mwanajeshi ,Alfred Maganga mkazi wa Muriet ,jijini Arusha,anadaiwa kufa katika ugomvi na mumewe na mwili wake kukutwa na majeraha kadhaa shingoni na kichwani huku mumewe akidai amejinyonga.


Utata huo umekuja pale ndugu wa marehemu walipouona mwili wa marehemu ukiwa majeraha hayo na kutilia shaka tukio hilo ambapo walidai kwamba ndugu yao hakujinyonga bali ameuliwa kikatili na Mwanajeshi hiyo


Akizungumzia tukio hilo kaka wa marehemu aitwaye Benedict Tairo mkazi wa Sanawari jijini hapa amedai kuwa siku ya tukio septemba 1,mwaka huu majira saa 11 jioni na alipigiwa simu na mtu mmoja aliyejitambulisha kuwa ni mwanajeshi kuwa mdogo wake amejinyonga.

Baadhi ya majirani na marehemu jina( limehifadhiwa)wamedai kuwa siku ya tukio walisikia ugomvi kati ya marehemu na mwanajeshi huyo na kwenda kuamua na baadae waliondoka na kuwaacha wakiwa ndani wamejifungia.


Jirani huyo alisema kuwa baadae walimwona mwanajeshi huyo akitoka nje kuelekea dukani na wakati akirejea alikuwa ameshikilia chupa ya bia mkononi.


"Tukiwa nyumbani mwanajeshi huyo alikuja na kutuambia kuwa mke wake alikuwa amejinyonga na kama atakuwa amekufa nipatieni kisu na mimi nijiue"amesema jirahi huyo.


Kaka wa marehemu amesema kuwa Septemba 3,mwaka huu siku ya jumanne mwili huo wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi na daktari wa hospital ya mt.meru aitwaye Alex Mtei kwa kushirikiana na askari polisi na ndugu wa familia ,hata hivyo matokeo ya uchunguzi huo hayakufahamika.


Mapema leo katika chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya Mount Meru daktari bingwa aliyebobea katika masuala ya uchunguzi wa vifo vyenye utata ,dkt Alex Mremi kutoka hosptali ya rufaa ya kcmc alifika ili kuufanyia uchunguzi mwili huo lakini wanajeshi waliokuwa wamefurika katika chumba cha maiti walimjia juu na kulazimika kuondoka bila kuufanyia uchunguzi mwili huo





View attachment 1199113
Yaaani ufanye hvyo kwa dada yangu aiseeeee hata uwe nani aisee lazima nikuweshe tu kwa namna yeyote ile
 
Back
Top Bottom