sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
akili ya kawaida unatoa kwanza raia wa marekanj na silaha za marekani ndio jeshi linaondoka ila huyu mluga luga katoa kwanza jeshi sijui alitegemea nini.
kuna mjeshi wa navy seals aliemuaa osama kamchana Biden juu ya huu upuuzi, silaha za zaidi ya trilioni 180 zimeachwa huko,saizi taliban wananyonga watu hewani kwa helikopta zilizoachwa.
Naona Biden uongozi huu umemshinda, afya yake tumeshaona inatia shaka kuanzia kuanguka anguka kwenye ngazi, kuwa msahaulifu (dementia), kukwepa kujibu maswali na kubwa kuzidi yote ni hii kuondoa jeshi kabla ya kutoa wananchi wa marekani na silaha za trilioni 180