Huyu hana shida akilala...hawa wananlinda nchi kwa ujumla...mara ya mwisho ni vita ya Idd Amin dada...sasa unategemea afanye nini? Noma ni mapolis na vioja vyao wakati wanatakiwa kuwa macho wakati wote. Nawafagilia wanajeshi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.