geraldkowero1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,838
- 647
Mimi ningemuamsha halafu nimuonyeshe akiweza afike bei mwenyewe
Usingerudi kwenu siku hiyo. Huyu sio mgambo wa jiji.
Mimi ningemuamsha halafu nimuonyeshe akiweza afike bei mwenyewe
Usingerudi kwenu siku hiyo. Huyu sio mgambo wa jiji.
mwingine huyu
Hahahaha huyu sio wabongo banaa!
Ila dah natamani na wale wabunge wanaosinzia wafukuzwe ila dah!
ihapo mpiga picha alikuwa anatetemeka sana na kuogopa asishtukiwe na huyu mnyama!
Hawa jamaa hawa sio wa kuchezea!.... tena wenye chata ya MP.. Hmm!
mwingine huyu
kamwamshe hapo akupe za chembe.
hizi simu hiz?!,yaani siku hizi ukigeuka tu "una naswa".
Mgeshi akiwa anapunguza mawazo
Ni ushauri tu! toa hii picha
mayo weee kweli hapa tuu machi,anarichapa riusingizi na rimachine ripo peupe hiri rifukuzwe tuSalamander nilikua namwongelea huyu aliyetupiwa na Wapoti kwenye post ya #20 . Unajua kwanini nimesema hivyo?
![]()
Mgeshi akiwa anapunguza mawazo
Wakurya hao, wao gongo na bangi kwao kawaida tu.
​Namjua huyo Wambura Mwita.
Angekuwa polisi huyu kazi angekuwa hana kazi
hapo mpiga picha alikuwa anatetemeka sana na kuogopa asishtukiwe na huyu mnyama!
Hawa jamaa hawa sio wa kuchezea!.... tena wenye chata ya MP.. Hmm!