GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,029
- 126,474
i
Mlevi tu huyo, akikushtukia atakufanya nini mtu kaisha kwa gongo huyo. Tena wapo wengi tu huko uswahilini wanalitia aibu jeshi, wao kutwa kushinda kwenye chibuku tu, sijui mazoezi wanafanya saa ngapi!
Kama Hawana Hela au Uwezo Huo Ulitaka Wanywe MKOJO Wako? Acha UPOPOMA.