Mwanajeshi akiuchapa usingizi

Mwanajeshi akiuchapa usingizi

i

Mlevi tu huyo, akikushtukia atakufanya nini mtu kaisha kwa gongo huyo. Tena wapo wengi tu huko uswahilini wanalitia aibu jeshi, wao kutwa kushinda kwenye chibuku tu, sijui mazoezi wanafanya saa ngapi!

Kama Hawana Hela au Uwezo Huo Ulitaka Wanywe MKOJO Wako? Acha UPOPOMA.
 
Ni kwamba kila mtu amekuwa mwandishi wa habari

Kiprofeshino Tunaiita Citizen Journalism Na Ndiyo Imebamba Kwa Sasa! Na Mfano Wako Wa Wazi Ni Jinsi Sisi Mamemba Humu JF Tunavyotiririka.
 
kazi nyingine jamani ni vipaji kama huna bora usiisomee
 
Hajalala huyoo......

Amejidunga na drip

Angalia mkono wa kushoto.
 
mwingine huyu

attachment.php



attachment.php



Wote hawa Wawili hawafai kuwa Ma-Askari kam ni mimi Mkubwa wao nina wadhibu kabisa wanaliaibisha Jeshi letu ni jambo la aibu sana.
 
Back
Top Bottom