Mwanahalisi na Rais Magufuli nani mkweli?

Mwanahalisi na Rais Magufuli nani mkweli?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,215
Reaction score
162,796
Wakati Rais Magufuli akituambia watanzania kuwa Katibu Mkuu wa CCM,bwana Kinana yuko nchini India kwa matibabu,gazeti la Mwanahalisi limedokeza katika habari yake kuu inayomuhusu Nape kuwa Kinana kurejea wiki hii kutoka Canada na kwamva anajipanga kumsulubu Makonda.

Sasa hapa mkweli ni nani?

Huyu Kinana hakutumwa India kwa matibabu?
 
IMG_4608.jpg



Swissme
 
Tembo wetu kawamaliza. Alienda kuchukua pension yake huko kwa kazi nzuri aliyoifanya yakumaliza tembo
 
Me naamini ya mwanahalisi watu wengine ni viwanda vya kupika uongo na wanataka umma tuwakubalie tu no reasoning
 
kinana hana jeuri na ujasiri wa kwenda against the system,akithubutu atakumbushwa kuhusu pembe za ndovu
Kwa maana hiyo anajulikana kwa ujangili na bado system ipo kimya ikimngoja aongee? Siamini
 
Wote wapo sahihi kulingana na siku kuwa tofauti walipoongea

JPM alisema yupo lndia by then Kinana yupi huko

Mwanahalisi nao wanasema yupo Canada, kwa sababu kishafika Canada.

Movement ni kawaida as longer ni Binadamu
Ameshakataa India siku 14 au katorok wodini?
 
Hivi kwe;i BADO mnaendelea kuliamini hili GAZETI?????......duuuh.....NCHII HAKUNA WAANDISHI WA HABARI....
 
Comrade Kinana namuamini sana katika hili lazima aweke mambo hadharani. Watu waliokipigania chama leo mnawaona kama makandokando tena walipokuwa wanatekeleza wajibu wao halali. Kinana lazima afe na Mtu.
 
Back
Top Bottom