Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,506
- 113,627
Kwani mtaji wa Mwanahalisi alipata wapi?. Kisima kile kile alichochota, kitatema tena. Hapa nimetoa angalizo tuu kwa Kubenea, mwenye nguvu mpishe. 'mtu nazo pesa' RA ana pesa, hahitaji hizo bilioni 3 kwa Kubenea bali anataka kumkomoa tuu ili mfadhili wake aingie vitani wakati anadai Shilingi moja 1/= tuu kwa mfadhili Mangi ili kuonyesha dharau kuwa lengo lake sio kutafuta fedha.Hapa hapa hapa.
Na mtaji wa hilo lijalo atapewa na nani? Pasco, utakuja kutueleza siku si nyingi ulijuaje??