MwanaHalisi lamshinda Rostam

Halisi

JF-Expert Member
Jan 16, 2007
2,802
613
Habari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kwamba wamiliki wa gazeti la MwanaHalisi, Hali Halisi Publishers Limited, wamefanikiwa kumzuia Rostam Aziz kutekeleza hukumu iliyowataka wamlipe mfanyabiashara huyo mabilioni ya fedha.


Mafanikio hayo yamepatikana kufuatia hukumu iliyotolewa jana na Jaji Eusebio Munuo wa Mahakama ya Rufani, aliyezingatia kwamba MwanaHALISI na wenzake wakilazimishwa kumlipa Rostam bilioni 3/- wataathirika lakini Rostam hawezi kuathirika kwa kutolipwa.


stay tuned
 
Sasa Rostam na Wizara watawalipa mwanahalisi gharama za kufunga gazeti hilo kwa muda wote ikiwa ushindi ni wa mwanahalisi?
 
hii habari imekaa tenge...this is called in law stay of execution ambayo haimaanishi kubadilisha unamuzi wa awali wa mahakama bali zuio la kutekeleza hukumu wakati rufaa inaendelea...mko hapo?
 
Naona kama hiyo hukumu imekaa kisiasa zaidi. RA hawezi shinda kesi yoyote ya kuchafuliwa jina hapa Tanzania. Hebu tungoje hizi za Mengi.
 
MwanaHALISI na wenzake wakilazimishwa kumlipa Rostam bilioni 3/- wataathirika lakini Rostam hawezi kuathirika kwa kutolipwa.

Sijaelewa ina maana kumbe kuna kifungu cha namna hiyo! Hongera Kubenea
 
hii habari imekaa tenge...this is called in law stay of execution ambayo haimaanishi kubadilisha unamuzi wa awali wa mahakama bali zuio la kutekeleza hukumu wakati rufaa inaendelea...mko hapo?

uko sahihi, kwani si kwamba wamefuta hukumu, ila wamezuia utekelezaji wa hukumu, lakini pia muelekeo wa kesi ya msingi kuamuliwa irudiwe ni mkubwa kwani haikufuata taratibu za kesi.


Hoja ya mawakili wa MwanaHalisi ilijikita katika Sheria ya Mwenendo wa Kesi za Madai (The Civil Procedure Act, 1966 [Toleo la Marejeo 2002]) ambapo waliomba Rostam azuiwe kutekeleza hukumu ya Jaji Makaramba kwa sababu itakiuka misingi ya sheria.
Pia waliieleza Mahakama kwamba wakati Jaji Makaramba alifikia hatua ya kutoa uamuzi wa upande mmoja wa bila kusikiliza ushahidi wa upande wa pili na kuamuru MwanaHALISI wamlipe Rostam bilioni 3/-, alikiuka Sheria ya Mwenendo wa Kesi za Madai, ambayo inatamka wazi katika fungu la VIII kanuni ya 14 (Order VIII, Rule 14) kuwa uamuzi wowote utakaotoa fidia inayozidi 1,000/- hauwezi kutolewa bila kusikilizwa upande wa pili.
 
Kesi zote za defamation na libel ziko very tricky na ni kesi sumbufu ambapo mahakama kuu inadescretion ya kuamua vyovyote.
Msingi mkuu wa kesi hizi ni kuchafuliwa jina infront of the right thinking members of the society.
Hoja ambayo Mwanahalisi angeweza kuishiklia ni kuwa RA hajachafuliwa na kuvunjiwa heshima yake kwa sababu tayari ni mchafu na hiyo heshima anayodai anayo, hana.
Assets zote na liabilities za Hali Halisi haziwezi tosha kutekeleza hukumu husika.
Wakati rufani inasubiriwa, ni vyema Kubenea akajiweka salama kwa kukaa mkao wa utayari kuifilisi Mwanahalisi na kuanzisha Mwana Halisia.

Ukishadeclare umefilisika, hukumu inakuwa haitekelezeki kesi inakuwa imekwisha. Tunaendelea na Mwana Halisia.
 
Hivi wan jf naomba nieleweshwe mbona kesi zote za kuchafuliwa jina ni za RA v/s .......?
Kwa nini hajiulizi kwa nini wadanganyika wananituhumu sana kutokuwa msafi? anadhani kwa kufanya hivyo kutamsafisha? Namuonea huruma!
 
uko sahihi, kwani si kwamba wamefuta hukumu, ila wamezuia utekelezaji wa hukumu, lakini pia muelekeo wa kesi ya msingi kuamuliwa irudiwe ni mkubwa kwani haikufuata taratibu za kesi.

Mwanzoni hukujua hii ni interlocutory decision ambayo hai affect kesi ya msingi au uliamua tu kupotosha?

Eti MwanaHalisi lamshinda Rostam. Kina Halisi hawa ndio wapashaji habari wa jamvi. Wapotoshaji ile mbaya.
 
Hongera sana Saeed Kubenea. Hata hivyo ushauri wa Pasco hapo juu ni vizuri ukauzingatia, ili hata kama Hukumu rasmi ya Mahakama ya Rufaa ikiwa unfavourable to Mwana Halisi Publishers, uwe umeshajihami.
Tunakupenda na kukuthamini sana sisi wana harakati. Uzi ni huo huo.
 
Hivi wan jf naomba nieleweshwe mbona kesi zote za kuchafuliwa jina ni za RA v/s .......?
Kwa nini hajiulizi kwa nini wadanganyika wananituhumu sana kutokuwa msafi? anadhani kwa kufanya hivyo kutamsafisha? Namuonea huruma!

Tutajie hizo kesi zote unazodai ili tujadili kesi baada ya kesi, otherwise tutakuelewesha vipi. Eleweka ili ueleweshwe.
 
Tutajie hizo kesi zote unazodai ili tujadili kesi baada ya kesi, otherwise tutakuelewesha vipi. Eleweka ili ueleweshwe.

Kwa mfano hii hapa nyingine, hebu tueleweshe kwa nini ni yeye tu?

Rostam files 28bn/- libel case against Mengi

DAILY NEWS Reporter, 19th June 2009 @ 02:49, Total Comments: 0, Hits: 277

A prominent businessman, Mr Rostam Aziz, has sued the IPP Chairman, Reginald Mengi, listing several demands, including 28bn/- compensation as general damages for defamation.

In the suit filed by his advocate, Mr Kennedy Fungamtama on June 5, this year, at the High Court in Dar es Salaam, Mr Aziz is demanding the amount as general damages for libel, hashed up falsehoods and malicious misrepresentation of facts uttered and published by the plaintiff to the general public.

Mr Aziz wants an unconditional apology and retraction of defamatory statements made by Mengi at a press conference on April 23, this year, in Dar es Salaam, in which the latter labelled former as a “shark” of corruption.

On the same day, Mengi is alleged to broadcast or aired on ITV a special programme called ‘Kipindi Maalum’ in which he uttered defamatory words about Mr Aziz. The special programme was repeated on April 27, this year, according to the charges.

Mr Aziz claims that the libellous statements complained of, apart from injuring his reputation and credit, stir irksome elements in public and incited or perpetuated hatred against him, thereby endangered his life and that of his family members.

The defendant, therefore, prays for an injunction against the plaintiff as well as his agents and associates, restraining them from repeating the libellous/defamatory in any form.

Mr Aziz also seeks an order compelling Mr Mengi to air on ITV and publish, at his expense, the approved apology and retraction in three consecutive issues of all mainstream newspapers, namely: the Daily News, ThisDay, Kulikoni, Nipashe, The Guardian, The Citizen, Mtanzania, The African, Uhuru, HabariLeo, Majira, Tanzania Daima and Business Times.

Mr Aziz, who is also a Member of Parliament for Igunga (CCM), seeks an order against the plaintiff to pay the defendant costs of and incidental to the suit and any other relief the High Court deems just and fit.

Early last month, through Ngalo & Company Advocates, Mengi equally filed a suit at the High Court against Aziz, seeking several demands, including 10bn/- compensation as general damages for libel. In his suit, Mengi claimed that he was defamed by Aziz at a press conference on May 1, this year, in Dar es Salaam, whereby the latter called him a ‘whale’ of corruption.
 
Kwa mfano hii hapa nyingine, hebu tueleweshe kwa nini ni yeye tu?

Rostam files 28bn/- libel case against Mengi

DAILY NEWS Reporter, 19th June 2009 @ 02:49, Total Comments: 0, Hits: 277

A prominent businessman, Mr Rostam Aziz, has sued the IPP Chairman, Reginald Mengi, listing several demands, including 28bn/- compensation as general damages for defamation.

In the suit filed by his advocate, Mr Kennedy Fungamtama on June 5, this year, at the High Court in Dar es Salaam, Mr Aziz is demanding the amount as general damages for libel, hashed up falsehoods and malicious misrepresentation of facts uttered and published by the plaintiff to the general public.

Mr Aziz wants an unconditional apology and retraction of defamatory statements made by Mengi at a press conference on April 23, this year, in Dar es Salaam, in which the latter labelled former as a “shark” of corruption.

On the same day, Mengi is alleged to broadcast or aired on ITV a special programme called ‘Kipindi Maalum’ in which he uttered defamatory words about Mr Aziz. The special programme was repeated on April 27, this year, according to the charges.

Mr Aziz claims that the libellous statements complained of, apart from injuring his reputation and credit, stir irksome elements in public and incited or perpetuated hatred against him, thereby endangered his life and that of his family members.

The defendant, therefore, prays for an injunction against the plaintiff as well as his agents and associates, restraining them from repeating the libellous/defamatory in any form.

Mr Aziz also seeks an order compelling Mr Mengi to air on ITV and publish, at his expense, the approved apology and retraction in three consecutive issues of all mainstream newspapers, namely: the Daily News, ThisDay, Kulikoni, Nipashe, The Guardian, The Citizen, Mtanzania, The African, Uhuru, HabariLeo, Majira, Tanzania Daima and Business Times.

Mr Aziz, who is also a Member of Parliament for Igunga (CCM), seeks an order against the plaintiff to pay the defendant costs of and incidental to the suit and any other relief the High Court deems just and fit.

Early last month, through Ngalo & Company Advocates, Mengi equally filed a suit at the High Court against Aziz, seeking several demands, including 10bn/- compensation as general damages for libel. In his suit, Mengi claimed that he was defamed by Aziz at a press conference on May 1, this year, in Dar es Salaam, whereby the latter called him a ‘whale’ of corruption.

Huu sasa ni mchezo wa kuigiza. Wacha tusubili hitimisho lake.

Ila kwa Kubenea, hongera walau kwa hatua hii ya awali.
 
Msingi mkuu wa kesi hizi ni kuchafuliwa jina infront of the right thinking members of the society. Hoja ambayo Mwanahalisi angeweza kuishiklia ni kuwa RA hajachafuliwa na kuvunjiwa heshima yake kwa sababu tayari ni mchafu na hiyo heshima anayodai anayo, hana.

Katika uhasibu kuna suala moja gumu sana kulithamanisha. Nalo ni "GOODWILL" Wakati baadhi ya wahasibu uionyesha "Goodwill" kama asset ya kampuni katika Balance Sheet wengine huiacha kabisa maana ni very subjective. Ugumu huo huo unajitokeza katika taaluma ya sheria kuamua juu ya hoja hapo juu. Wanasheria naomba msaada wenu hapa maamuzi yanafikiwaje kuthibitisha mtu hadhi yake imechafuliwa na kuvunjiwa heshima au kinyume chake?


utayari kuifilisi Mwanahalisi na kuanzisha Mwana Halisia.

Watu wa JF binafsi nawaheshimu sana. Mara nyingi wakitoa angalizo au pendekezo, utalikuta liko katika hatua za utekelezaji baada ya muda mchache. Sintochangaa kukuta Mwana Halisia already booked at BRELA.
 
Katika uhasibu kuna suala moja gumu sana kulithamanisha. Nalo ni "GOODWILL" Wakati baadhi ya wahasibu uionyesha "Goodwill" kama asset ya kampuni katika Balance Sheet wengine huiacha kabisa maana ni very subjective. Ugumu huo huo unajitokeza katika taaluma ya sheria kuamua juu ya hoja hapo juu. Wanasheria naomba msaada wenu hapa maamuzi yanafikiwaje kuthibitisha mtu hadhi yake imechafuliwa na kuvunjiwa heshima au kinyume chake?
Ndio maana nikaita kesi hizi ni kesi sumbufu. Thamani ya mtu katika jamii ni jinsi anavyojithaminisha yeye mwenyewe ndio maana RA huyo huyo kadai bilioni 3 kwa Kubenea halafu amedai Shilingi 1/= tuu kwa Mangi.
Mahakama imepewa full discretion kuamua kiasi gani ndio kilipwe.
Mawakili wanaopenda litigation ndio wanaentartain kesi hizi. Mawakili waangalia mbele hawawezi kukubali hivi vikesi vya usumbufu, time consuming at the end of the day, you end up with nothing.
Lengo la RA ni kumkomoa Mangi kwaakuifilisi Mwanahalisi kwa sababu Kubenea is funded na Mangi. Kwa wenye akili timamu, wanamuona Akama insane fulani kutaka bilioni 3 kwa Kubenea who has nothing halafu anadai shilingi 1 kwa Mangi whos has everything.
 
Ndio maana nikaita kesi hizi ni kesi sumbufu.

Naanza kukupata, tunaingia frequncey moja.

Thamani ya mtu katika jamii ni jinsi anavyojithaminisha yeye mwenyewe ndio maana RA huyo huyo kadai bilioni 3 kwa Kubenea halafu amedai Shilingi 1/= tuu kwa Mangi.



Yaah una mifamo mizuri na iliyo hai. Naweka sawa na kuongeza hii.
  • RA anadai 3b against MwanaHalisi + 1b against Kubenea
  • Mangi anadai 10b kwenye kesi againt RA
  • RA anadai 28b kwenye kesi againt Mangi
So, from above I can conclude that Mangi is worthless to RA based on 28b>3b?! Is it?
 
=Pasco;493691] Kuifilisi Mwanahalisi na kuanzisha Mwana Halisia

Hapa hapa hapa.
Na mtaji wa hilo lijalo atapewa na nani? Pasco, utakuja kutueleza siku si nyingi ulijuaje??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom