Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Habari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kwamba wamiliki wa gazeti la MwanaHalisi, Hali Halisi Publishers Limited, wamefanikiwa kumzuia Rostam Aziz kutekeleza hukumu iliyowataka wamlipe mfanyabiashara huyo mabilioni ya fedha.
Mafanikio hayo yamepatikana kufuatia hukumu iliyotolewa jana na Jaji Eusebio Munuo wa Mahakama ya Rufani, aliyezingatia kwamba MwanaHALISI na wenzake wakilazimishwa kumlipa Rostam bilioni 3/- wataathirika lakini Rostam hawezi kuathirika kwa kutolipwa.
stay tuned
Mafanikio hayo yamepatikana kufuatia hukumu iliyotolewa jana na Jaji Eusebio Munuo wa Mahakama ya Rufani, aliyezingatia kwamba MwanaHALISI na wenzake wakilazimishwa kumlipa Rostam bilioni 3/- wataathirika lakini Rostam hawezi kuathirika kwa kutolipwa.
stay tuned