mbinu ya kukabili uandishi wa habari kama za kina kubenea kwa kuyafungia magazeti yao haziwezi kuzaa matunda km wao wanavyodhani,hiki si kipindi cha mwaka 47,wakiziba mlango mmoja,mungu atafungua mingine saba zaidi.ni utawala wa kitoto na usio na strategy,madudu matupu