Mwanahalisi fanya yafuatayo


I see all that as "bridge gap measures and shortcuts which may end up being short circuited!!!" at a later stage; Mwanahalisi go to court hata kama mahakama zetu nazo ambazo kwa sasa zinatumika kuminya uhuru wa kuzungumza hata maswala nyeti yanayoashiria kumongonyoka kwa mustakabali wa taifa letu, Go to court ili hatimaye tujiridhishe kama hata mahakama zetu pia zimekuwa embbeded! and the sooner the better.
 
Poor little Phabian Lugaimukamu is only being used as an "attack dog" in trying to shield his paymaster from this "mother of all scandals" that our government has ever been embroiled in since independence in 1961!!
Hivi kweli hata Phabian mwenyewe deep down in his brains and consience anaamini alichokisema kwamba gazeti la Mwanahalisi halina tija kwa wananchi au anaimba tu ngonjera ya kukariri; maana He who pays the piper calls the tune!!??

Phabian "no research no right to speak" nakushauri ufanye utafiti kidogo kuhusu circulation ya gazeti hili la mwanahalisi ndio utaweza kutoa maoni kama lina tija kwa wananchi au halina; kwa sasa ulichokisema kinaitwa HOT AIR to say the least.
The worm has already left the can!! huwezi kuirudisha, watanzania wameshaamuka; thanks to mwanahalisi na magazeti mengine yenye vision kama hiyo, and hence the high readership ya mwanahalisi.
 
Ameishika Ikulu pabaya,maana kwa kashfa hii sirikali inaweza kudondok.Kufichua ukweli wote huu unahitaji ujasili.
 
Nani anabisha kua serikali ya CCM inayoongozwa na J. Kikwete inaendesha nchi KIDIKTETA??
Nani anabisha kua Bunge la Tanzania linaloongozwa na bibi Anne Makinda linaendeshwa Kidikteta?
Wapi uhuru wa vyombo vya habari nchini???

2015 Time will tell na wananchi wataamua ni serikali gani watakayoitaka!
 
naona utawala wa Russia unaingia tanzania taratibu.
kilichobakia ni kusafisha mfumo mzima, kuondoa chama
tawala ili kuijenga Tanzania mpya kivitendo.
 
mawazo yako ni mazuri sana ila naona sasa utawafanya waje na mkakati wa kudeal na mitandao kama JamiiForums
 
Ntapingana na wewe.....kunradhi kwa hilo.........hapa kinatakiwa ni continuity na si sustainability.....siungi mkono hili la kubembeleza kwa kuwa litawapa masharti magumu na kupoteza umaana wa MWANAHALISI.........yaani wageuke kuwa UHURU-2?


Wewe binadamu sikiliza! Si kila retreat huwaga surrender!

Unataka kupigana na mimi? Ha ha ha ha... Leo sipo kwenye mudi ya kupigana kabisa.
Na zaidi ya hapo mimi ni man of peace.... well, sometimes.
Ila nimeipenda sana hiyo Arabic yako kwenye blue....

Peace be unto you!!!
 

wakati uliopita serikali ilipolifungia siku 90 kuna mabalozi wa nchi za nje walikwenda kwa waziri mkuu kulalamika kufungiwa kwa gazeti hili.
 
ni wazo zuri, kwenye kumlipa sasa coz its the business.. ila jamaa alikuwa anafanya kazi ambayo ilikuwa ni risk
 
naunga mkono hoja,
ktk zama hizi tuishimo za digitali sheria kandamizi kama hizi hazina nafasi, Kubanea tumia ICT kufikisha ujumbe, tena kwa subscription.
 
Ushauri safi! Ulitumiwa Zimbabwe na ukafanikiwa ingawaje IT literacy huko ilisaidi. Vipi mkienda mahakamani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…