Chenge
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 1,073
- 377
liko mahakamani msizunguzie!!!!!!!!!!!!!!!!
Kaa chini. Mbona unawashwa washwa?
liko mahakamani msizunguzie!!!!!!!!!!!!!!!!
Nina shaka kama Dk. ulimboka karudi kwenye fahamu za kawaida tusubiri apone vizuri tumsikie mwenyewe badala ya habari za kuokoteza.
Hahaaa nyie wana suala hili ni marufuku kuzungumza liko mahakamani
Kova aache usanii wa kijinga asijitwishe zigo ambalo haliwezi kulibeba Ikulu yahusika moja kwa moja acheni visingizio
Nina shaka kama Dk. ulimboka karudi kwenye fahamu za kawaida tusubiri apone vizuri tumsikie mwenyewe badala ya habari za kuokoteza.
siasa kwenye jukwaa la sheria ni vitu viwili tofauti kabisa... maneno ya mh. Sugu jaji/hakimu hawezi kusilikiza popote duniani lakini kwenye siasa ni uchochoro wa kuongea chochote.
lengo la mwanahalisi sasa ni kuuza gazeti na kuendelea kupandikiza chuki kwa wananchi dhidi ya serikali
Hakuna habari ya kuokoteza hapo mkuu,penye ukweli uongo hujitenga.Unamfahamu Kova,ulimwona siku anatangaza habari za Mkenya akiyemteka Ulimboka.Kama umesoma psychologia ungegundua haraka sana
Kova + Zoka = Jakaya Kikwte!
Huyu ndiye yuko nyuma yote haya.....kwasababu ana upeo mdogo ndie anashauri njia hizi za kijinga!
..