yap, maana upepo wa sasa ivi ni gharika , kova , msangi na zoka ni lazima wawajibike kwa hili suala
Zola ni aina mpya ya peremende toka chinaSamhain mkuu Zola ni nani..?
Nilitaka kuuliza swali hili hili na pia kukumbusha kuwa walikuwa na Dr. ila yeye wakamwacha huko!Kumbe ndio Makazi yao?
Tuwekee picha za watu hao tuwajue.Mbona tayari wanajulikana ni Ahmed Msangi na Jack Zoka hawawezi kulikwepa Hilo watabeba laana zote za wapenda haki
hivi yule Mkenya wa watu sijui yuko wapi aisee ?Taarifa ambazo zimeandikwa katika gazeti hilo zimedai kuwa Dr. Olimboka amesema uzushi na uongo wa kupikwa na jeshi la polisi juu ya utekeaji na mupigwa kwake kuwa ni Mkenya ni kupindisha hali ya mambo na ukweli na kasisitiza watesi wake wanatoka Ikulu.
Naamini hapa Kova kwa msemo wa Mh. Sugu kuwa Arudi studio akatengeneze filamu yake ya kichina hii aliyoitoa ishavuja.
aiseeeMbona tayari wanajulikana ni Ahmed Msangi na Jack Zoka hawawezi kulikwepa Hilo watabeba laana zote za wapenda haki
Pia waliomteka MO ni makaburu kutoka South Africa.Taarifa ambazo zimeandikwa katika gazeti hilo zimedai kuwa Dr. Olimboka amesema uzushi na uongo wa kupikwa na jeshi la polisi juu ya utekeaji na mupigwa kwake kuwa ni Mkenya ni kupindisha hali ya mambo na ukweli na kasisitiza watesi wake wanatoka Ikulu.
Naamini hapa Kova kwa msemo wa Mh. Sugu kuwa Arudi studio akatengeneze filamu yake ya kichina hii aliyoitoa ishavuja.