Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Taarifa ambazo zimeandikwa katika gazeti hilo zimedai kuwa Dr. Olimboka amesema uzushi na uongo wa kupikwa na jeshi la polisi juu ya utekeaji na mupigwa kwake kuwa ni Mkenya ni kupindisha hali ya mambo na ukweli na kasisitiza watesi wake wanatoka Ikulu.
Naamini hapa Kova kwa msemo wa Mh. Sugu kuwa Arudi studio akatengeneze filamu yake ya kichina hii aliyoitoa ishavuja.
Naamini hapa Kova kwa msemo wa Mh. Sugu kuwa Arudi studio akatengeneze filamu yake ya kichina hii aliyoitoa ishavuja.