Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,281
- 12,814
Naonelea History na Civics ziwe hazina mitihani wala notisi. Zifundishwe kwa njia ya masimulizi. Tena ili kurahisisha ugumu masomo haya yasimuliwe kwa lugha ya Kiswahili.
Pia mtaala wa kiswahili upunguzwe. Mambo ya mofimu na kuchambua sentensi yatolewe na ikiwezekana kidato cha pili iwe mwisho kukisoma, anayetaka anaweza kuendelea nacho akifika kidato cha tano.
Mambo ya mofimu na vitenzi hayasaidii kitu maishani.
Naomba tujadili hili na nyinyi wakuu sana mtoe maoni yenu jinsi ya kumpunguzia mzigo mwanafunzi wa sekondari.
Pia mtaala wa kiswahili upunguzwe. Mambo ya mofimu na kuchambua sentensi yatolewe na ikiwezekana kidato cha pili iwe mwisho kukisoma, anayetaka anaweza kuendelea nacho akifika kidato cha tano.
Mambo ya mofimu na vitenzi hayasaidii kitu maishani.
Naomba tujadili hili na nyinyi wakuu sana mtoe maoni yenu jinsi ya kumpunguzia mzigo mwanafunzi wa sekondari.