Mwanafunzi wa Masters UDOM achomwa kisu

Mwanafunzi wa Masters UDOM achomwa kisu

linguistics

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2014
Posts
4,732
Reaction score
4,393
Habari zenu Great thinkers,

Kuna habari hii ya huzuni inamuhusu mwanafunzi wa masters pale UDOM kwamba amechomwa kisu na kufariki.

Naomba mwenye taarifa kamili atujuze. Nimesikitika sana.

RIP mpendwa. Poleni wafiwa

Ni kweli amechomwa kisu mara mbili na mchoma chips na amefariki.

Kisa bado hakijajulikana vizuri.

Nimetumiwa SMS na mfanyakazi mwenzangu anayesoma naye (masters) hapo UDOM
 
Ni kweli amechomwa kisu mara mbili na mchoma chips na amefariki.

~kisa bado hakijajulikana vizuri!

~Nimetumiwa SMS na mfanyakazi mwenzangu anayesoma naye (masters) hapo udom!
 
Anaitwa shealtiaely steven mbise..alikua mfanyakazi mwenzangu...may his soul rest in peace amen
 
Mbayaaa, Apumzike salama.
Poleni wafiwa wote,
Poleni wote mlioguswa na msiba huo

..........Ukawa tumeshapoteza kura moja masikini.
 
Source ni nn?wafanyakaz wenzake fuatilieni chanzo hawa wauza chips ------- sana utakuta kisa k2 kidogo tu
 
Anaitwa shealtiaely steven mbise..alikua mfanyakazi mwenzangu...may his soul rest in peace amen

Inahuzunisha sana ni homeboy wangu ka hustle sana na Elimu ili Ije implipe since Akeri, Ihungo, UoA na Udom
RIP Baba Steve!! Mungu ampe pumziko LA milele
machafuzi unit watakukumbuka
 
Mbayaaa, Apumzike salama.
Poleni wafiwa wote,
Poleni wote mlioguswa na msiba huo

..........Ukawa tumeshapoteza kura moja masikini.
Kwa vile jina lake ni Mbise na hivyo anatoka Kaskazini therefore ni UKAWA? Umefikiaje conclusion kuwa marehemu alikuwa UKAWA?

Rip Mr. Mbise.
 
pole mkuu...chanzo cha mauaji ni nini?

Inna lillahi wa inna ilaihi raji'un.Ila itakuwa ilikuwa struggle ya aina gani kulikuwa hamna watu wa kutuliza jamani da!na hiyo stabbing ni kwenye moyo aaagh!Poleni sana wafiwa.Hayo ni majanga dabari dabari mi mwenyewe ni mtata sana kuanzia sasa nitaepuka confrotations.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom