GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,087
- 2,194
Wadau mimi ni mwalimu wa shule ya secondary xx. Ni shule ya bweni jinsia mchanganyiko. Sasa hivi ni likizo na watoto wamerudi nyumbani.
Juzi usiku nikapokea sms "sir habari ya likizo,nimekumic sana" nikamuuliza wewe ni nani akanitajia jina lake.
Ni mwanafunzi wa kike kidato cha tatu. Ni mtoto mwenye mvuto sana na ni mzuri sana. Sasa kila siku anatuma sms kwamba kanimic na anataka anitembelee ninapoishi. Nisipojibu sms analalamika kwamba namchunia.
Jamani haka katoto kananitia majaribuni sana. Naombeni ushauri wenu maana hapa nimefikia point of no return.
Juzi usiku nikapokea sms "sir habari ya likizo,nimekumic sana" nikamuuliza wewe ni nani akanitajia jina lake.
Ni mwanafunzi wa kike kidato cha tatu. Ni mtoto mwenye mvuto sana na ni mzuri sana. Sasa kila siku anatuma sms kwamba kanimic na anataka anitembelee ninapoishi. Nisipojibu sms analalamika kwamba namchunia.
Jamani haka katoto kananitia majaribuni sana. Naombeni ushauri wenu maana hapa nimefikia point of no return.