Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Sina mengi sana, pamoja na utoto wake ila naona ana point.
Cc: Wanafunzi wa shule za St. Kayumba
Cc: Wanafunzi wa shule za St. Kayumba
Akikua lini wakati ameshakuambia ni rahisi kwake? Tafuta hela umpeleke mwanao mwanamvua hizo shule za internationalBado ni mtoto anazungumza anachokiaona machoni mwake, siku akiwa na utambuzi atajua ni kwa nini wanaofanya hizo NECTA wanaona ngumu.
Ni sawa sawa na mtoto anayemuona Baba yake ndio tajiri pekee duniani.
Hapana acha wivu.Bado ni mtoto anazungumza anachokiaona machoni mwake, siku akiwa na utambuzi atajua ni kwa nini wanaofanya hizo NECTA wanaona ngumu.
Ni sawa sawa na mtoto anayemuona Baba yake ndio tajiri pekee duniani.
Watu wamekasirika wakati dogo kaongea ukweli tupu.
Kwa sasa mwanafunzi hapaswi feli wakati notisi zimejaa kila mahali.
Wazazi hawafatilii maendeleo ya watoto wao hivyo mtoto aende au asiende shule haiwahusu.
Watawala na watawaliwa huandaliwa na wazazi
cha kushukuru Mungu wengi tumo humu tumetoka maisha ya aina hii. tunamshukuru Mungu.
Mi mmoja waocha kushukuru Mungu wengi tumo humu tumetoka maisha ya aina hii. tunamshukuru Mungu.
Maafisa Ubashiri ndio nini? 🤣🤣🤣Aisee hata mimi nawashangaa si tu wale wanaofeli ila pia na wale ambao wanafanya hiyo mitihani, ni kupoteza muda tu, bora wajiaandae kuwa maafisa ubashiri na maafisa usafirishaji🐒
Aina ipi, feza au Kata?cha kushukuru Mungu wengi tumo humu tumetoka maisha ya aina hii. tunamshukuru Mungu.
Ni kada muhimu sana kwa vijana wenye ujuzi na maarifa ya mashindano mbali mbali ya michezo kama mpira wa miguu ambapo vijana hao hutumia ujuzi na maarifa yao kubashiri matokeo ya michezo mbali mbali na kujipatia pesa halali ya kujikimuMaafisa Ubashiri ndio nini? 🤣🤣🤣