Mwanafunzi wa chuo kikuu Dodoma afariki akiwa usingizini

Mwanafunzi wa chuo kikuu Dodoma afariki akiwa usingizini

RIP Mwalimu!
Tufanye medical check up mara kwa mara kuna maradhi mengi tunatembea nayo tena kwa mikogo,yakilipuka it's too late.
 
Possibilities kubwa ni sukari, pressure, life style zetu na kutokupima afya mara kwa mara ni vigumu kujua umeshapata tatizo. RIP. tukapime afya zetu ili tupate matibabu mapema
 
Anamaanisha kufa kipindi hiki cha Ccm ni bora kuliko kuteseka ukiwa kwenye nchi yako!
Kweli wewe mwanaizaya ha ha ha japo sijui maana ya neno hilo. Sioni ajabu ya jibu lako, maana umezaliwa ktk mazingira magumu
 
Kifo kizuri??....angekuwa ndugu yako wa damu..au mzazi wako ungeona uzuri wake.....
Ni kifo kizuri tofauti na mtu Anaugua Kwa muda mrefu kisha anafariki au mtu ana pata ajali kisha Anakufa. Lakin ndugu yetu ameondoka akiwa amelala.
 
Back
Top Bottom