Mwanafunzi mwingine Dar auawa kinyama!

Mwanafunzi mwingine Dar auawa kinyama!

Vitoto vya siku hizi vinajua mapenzi hadi wivu. Enzi zetu tukiwa chuo. Ukiwa na hamu ya mapenzi unakwenda mtaa wa Livingstone kwa wahaya. Utatoa dala unapewa penzi la kufa mtu na unarudi zako chuo. Kama huna dala unadandia uda hadi Manzese kwa wahaya wa bei rahisi au mtaa wa Sudan Temeke. By the way wapo hawa watoa huduma siku hizi ?
 
Iweje hawa wanao uliwa wakigombania mademu ni wasukuma tu? Isijekuwa visasi vya mgandamizo wa ngosha?
 
A very good boy Shija was.
I knew him since his childhood.
Baba yake alimpenda sana na kumpa kila chema alichotaka.
Kijana mzuri ambae wazazi wamehangaika kumlea hadi chuoni,only for him to find a "whole new world" chuoni,ujana mwingi na kudate msichana asiye mwaminifu,demu alilipiwa hadi hosteli na dogo,na bado hakutuliza mzigo,Shija akafumania,katika kukurukakara na jamaa aliyemfumania,dogo akasukumwa na kuanguka toka ghorofa ya tatu.
I went there kutoa heshima kwa mwili,nikamtazama Shija,kijana mdogo,mzuri na suti yake amelala ndani ya jeneza,wazazi wake waliompenda sana wakiwa na nyuso za huzuni,mamia ya waombolezaji tukiwa tumewazunguka,tukimuaga kijana wao ambae ndio kaimaliza safari yake at his 20's na kwa staili hiyo!

Vijana wetu hebu tulipeni wazazi wenu sawa na matendo yetu,this is totally unfair.
Duh yaani umeniliza kwa kweli!
Ehh Maulana Mola wangu naomba waepushe vizazi vyetu na balaa kama hili! Yeuwii!
 
Vitoto vya siku hizi vinajua mapenzi hadi wivu. Enzi zetu tukiwa chuo. Ukiwa na hamu ya mapenzi unakwenda mtaa wa Livingstone kwa wahaya. Utatoa dala unapewa penzi la kufa mtu na unarudi zako chuo. Kama huna dala unadandia uda hadi Manzese kwa wahaya wa bei rahisi au mtaa wa Sudan Temeke. By the way wapo hawa watoa huduma siku hizi ?
Ulihitimu shahada ya nni huko chuoni ?
 
Back
Top Bottom