Mwanafunzi mwingine Dar auawa kinyama!

Mwanafunzi mwingine Dar auawa kinyama!

Leo sijui umeandika vinini.sasa habari ya akwilina inahusianaje na hii yako? Visa viwili tofauti
Watu wanashangaza badala kumuacha mwenzao apumzike kwa amani utazani walitoa hata rambirambi kwa wazazi
 
A very good boy Shija was.
I knew him since his childhood.
Baba yake alimpenda sana na kumpa kila chema alichotaka.
Kijana mzuri ambae wazazi wamehangaika kumlea hadi chuoni,only for him to find a "whole new world" chuoni,ujana mwingi na kudate msichana asiye mwaminifu,demu alilipiwa hadi hosteli na dogo,na bado hakutuliza mzigo,Shija akafumania,katika kukurukakara na jamaa aliyemfumania,dogo akasukumwa na kuanguka toka ghorofa ya tatu.
I went there kutoa heshima kwa mwili,nikamtazama Shija,kijana mdogo,mzuri na suti yake amelala ndani ya jeneza,wazazi wake waliompenda sana wakiwa na nyuso za huzuni,mamia ya waombolezaji tukiwa tumewazunguka,tukimuaga kijana wao ambae ndio kaimaliza safari yake at his 20's na kwa staili hiyo!

Vijana wetu hebu tulipeni wazazi wenu sawa na matendo yetu,this is totally unfair.
 
A very good boy Shija was.
I knew him since his childhood.
Baba yake alimpenda sana na kumpa kila chema alichotaka.
Kijana mzuri ambae wazazi wamehangaika kumlea hadi chuoni,only for him to find a "whole new world" chuoni,ujana mwingi na kudate msichana asiye mwaminifu,demu alilipiwa hadi hosteli na dogo,na bado hakutuliza mzigo,Shija akafumania,katika kukurukakara na jamaa aliyemfumania,dogo akasukumwa na kuanguka toka ghorofa ya tatu.
I went there kutoa heshima kwa mwili,nikamtazama Shija,kijana mdogo,mzuri na suti yake amelala ndani ya jeneza,wazazi wake waliompenda sana wakiwa na nyuso za huzuni,mamia ya waombolezaji tukiwa tumewazunguka,tukimuaga kijana wao ambae ndio kaimaliza safari yake at his 20's na kwa staili hiyo!

Vijana wetu hebu tulipeni wazazi wenu sawa na matendo yetu,this is totally unfair.
Daaah poleni Mkuu. .
R.i.p shija
 
Sisi vijana tunaofwata maadili ya kiafrika hatugombanii papuchi, naomba mara moja tu nikitemwa natembea naomba kwa mwingine, naweza nisiwe na mpenzi wa kudum ila nkawa nagongana kila cku
 
Leo sijui umeandika vinini.sasa habari ya akwilina inahusianaje na hii yako? Visa viwili tofauti
Visa vinalingana mkuu. Akwilina pia aliuawa kwa ujinga na upumbavu wa mavi kimimba na mbowe
 
A very good boy Shija was.
I knew him since his childhood.
Baba yake alimpenda sana na kumpa kila chema alichotaka.
Kijana mzuri ambae wazazi wamehangaika kumlea hadi chuoni,only for him to find a "whole new world" chuoni,ujana mwingi na kudate msichana asiye mwaminifu,demu alilipiwa hadi hosteli na dogo,na bado hakutuliza mzigo,Shija akafumania,katika kukurukakara na jamaa aliyemfumania,dogo akasukumwa na kuanguka toka ghorofa ya tatu.
I went there kutoa heshima kwa mwili,nikamtazama Shija,kijana mdogo,mzuri na suti yake amelala ndani ya jeneza,wazazi wake waliompenda sana wakiwa na nyuso za huzuni,mamia ya waombolezaji tukiwa tumewazunguka,tukimuaga kijana wao ambae ndio kaimaliza safari yake at his 20's na kwa staili hiyo!

Vijana wetu hebu tulipeni wazazi wenu sawa na matendo yetu,this is totally unfair.
Imenigusa sana hii
 
Wakati Akwilina akiuawa kwa kupigwa risasi akiwa kwenye daladala maeneo ya mkwajuni kinondoni jijini Dar, Feb 16 mwaka huu, mwanafunzi Shija Daudi Kasuku (20) wa chuo kikuu cha Elimu ya Biashara (CBE), Tawi la Dar, alidaiwa kuuawa kwa kusukumwa kutoka ghorofa ya tatu hadi chini.
front-Ijumaa.jpg
Shija aliyekuwa akisomea Diploma ya Biashara akiwa yupo mwaka wa pili chuoni hapo, alidaiwa kuuawa na mwanafunzi mwenzake kwa kile kilichosemekana kwamba ni wivu wa kimapenzi.


Tutasikia wana chadema wakisema ni CCM ama Magufuli kufanya haya mauaji. Tunasubiri.
 
Wakati Akwilina akiuawa kwa kupigwa risasi akiwa kwenye daladala maeneo ya mkwajuni kinondoni jijini Dar, Feb 16 mwaka huu, mwanafunzi Shija Daudi Kasuku (20) wa chuo kikuu cha Elimu ya Biashara (CBE), Tawi la Dar, alidaiwa kuuawa kwa kusukumwa kutoka ghorofa ya tatu hadi chini.
front-Ijumaa.jpg
Shija aliyekuwa akisomea Diploma ya Biashara akiwa yupo mwaka wa pili chuoni hapo, alidaiwa kuuawa na mwanafunzi mwenzake kwa kile kilichosemekana kwamba ni wivu wa kimapenzi.
Nahisi na huyu kauwawa na ccm
 
Leo sijui umeandika vinini.sasa habari ya akwilina inahusianaje na hii yako? Visa viwili tofauti
Mh!

Unayo changamoto ya kufikiri kama si kuelewa.

Nikusaidie:
-Vifo vya wawili hao vimetokea ndani ya muda mfupi na kwa kukaribiana,
-Wote walikuwa ni wanafunzi,
-Zipo dhana (tuhuma) kuwa vifo vyao vina mkono wa binadamu.

Inahitajika shahada ya uzamivu kuona uhusino hapo?
 
Hajawahi achwa au kuacha wewe, maumivu ya mapenzi yasikie kwa mtu mwingine, omba yasikukute, yahitaji utashi wa ziada kuyakabili maumivu yake
Hayo yanatokea sana sema kama binadamu mwenye akili timamu unatumia kamsemo ka wadhungu let it go! halafu ukitupa jicho huku na kule unaona wali kibao wanaita sasa kwanini nijiue au niue mtu mkuu.
 
SHIGONGO BWANA HABARI ZAKE KWA CHUMVI....."SIMULIZI YA KIFO CHAKE INATISHA",SASA KUNA SIMULIZI INAYOHUSU KIFO ISIYOTISHA??
 
A very good boy Shija was.
I knew him since his childhood.
Baba yake alimpenda sana na kumpa kila chema alichotaka.
Kijana mzuri ambae wazazi wamehangaika kumlea hadi chuoni,only for him to find a "whole new world" chuoni,ujana mwingi na kudate msichana asiye mwaminifu,demu alilipiwa hadi hosteli na dogo,na bado hakutuliza mzigo,Shija akafumania,katika kukurukakara na jamaa aliyemfumania,dogo akasukumwa na kuanguka toka ghorofa ya tatu.
I went there kutoa heshima kwa mwili,nikamtazama Shija,kijana mdogo,mzuri na suti yake amelala ndani ya jeneza,wazazi wake waliompenda sana wakiwa na nyuso za huzuni,mamia ya waombolezaji tukiwa tumewazunguka,tukimuaga kijana wao ambae ndio kaimaliza safari yake at his 20's na kwa staili hiyo!

Vijana wetu hebu tulipeni wazazi wenu sawa na matendo yetu,this is totally unfair.
Wazazi wetu wanachangia sana kutuharibu na pengine kupelekea haya kutukuta. Ndugu zangu kumpa mwanao kila kitu hasa mahitaji ya kifedha sio jambo baya ila lazima uzingatie na mazingira aliyopo mfano mazingira ya masomo (kwa maana ya shule). Tujaribu kujenga mazingira ya kuwaonyesha watoto wetu kua utajiri na mali nyingi tulizonazo wazazi ni zetu na sio kwa ajili ya watoto hii ni pamoja na kubana matumizi yasiyokua ya lazima kwa watoto wetu hasa wanapokua shule, itasaidia kumfanya mtoto kujituma ktk masomo huku akiamini kua kwa kufanya hivyo atakuja kupata vyote hivyo

Naomba nitoe mfano
Kuna mzee mmoja alionyesha kumjali mwanae, alipokua masomoni huko kaskazini mwa tz baba alikua na malengo na kijana wake na alitekeleza kila alichohitaji kijana wake akiamini kua huo ndio upendo kumbe alikua anamchimbia shimo. Kijana kutokana na pesa alizokua akipata kutoka kwa mzee akaingia ktk mapenzi na mwishoe aliishia KUJINYONGA kwa wivu wa mapenzi

Ktk familia hiyo hiyo mdogo wake na marehemu nae amebahatika kupata chuo pande hizo hizo baba amezidisha mapenzi kwa kijana na kijana anaishi maishi ambayo huwezi kuamini kama ni mwanfunzi kilicho mkuta nikujikuta akiingia kwenye mapenzi kutoka na matumizi mabaya ya fedha anazopata kutoka kwa mzee. Sasa ameingia kwenye anga za walimu wake mwisho wa cku wamemng'ang'ania somo ambalo litamfanya amalize chuo baada ya miaka mitano au sita wakati angweza kutumia miaka mitatu akarudi nyumbani na kutimiza mambo mengine
Lai yangu kwa wazazi tusiendekeze pesa nyingi kwa watoto tkiamini kua huo ndio upendo LA hasha tunawapoteza watoto wetu na kujisahau kufanya yaliyowapeleka shule
 
Back
Top Bottom