Mwanafamilia mwenzenu anaumwa

Mwanafamilia mwenzenu anaumwa

Katika jina la Yesu pokea uponyaji amina
 
Kuwa mkweli tuu wa Nafsi yako...Hii homa inaambikizwa kwa kufanya ngono zembe..

Kama vipi labda mkeo anamichepuko...

kwakua sijawahi ona hilo huenda naomba nisimshuhudie uongo lakini pia siamini katika hili... ugonjwa huu hauambukizwi kwa njia hiyo tu jitahidi upende kujisomea angalau ujue maana mke wangu angechepuka basi angekua yeye kwanza nifate mimi lakini mimi ni victim wakati yeye haijaonyesha, na kwa mujibu wa daktari amesema inawezekana na si lazima upate maambukizi kwa njia hiyo unayodhani. kwakua nimeufahamu nitakua balozi kuwapa elimu juu ya ugonjwa huu ili msiwahukumu wanaoumwa
 
Poleee sana.
Ugua pole.

Hivi nyie mnaosema mambo ya mchepuko hamjisikii aibu jamani kumzidishia mtu oresha.
tumefundishwa kusamehe maana humu kila mtu anauhuru wa mawazo dada angu kwahyo nasoma halafu naomba Mungu adhihirike juu yao wanaohisi ngono ndo kisababishi
 
mchepuko kwangu hapana, wifi yako nimetoka nae mbali sana na sijawahi waza kuchepuka na Mungu anisaidie
Pole sana Mungu akuponye,mkeo lazima apime.Nafikiri ma DR watakuwa wamekuambia
 
pole sana mkuu.....

ukichepuka uwe unatumia condom kuepusha maambukizi.

asakuta usihukumu kitu usichojua, nakwazika kwa maana sio tabia yangu na daktari amethibitisha kua having unsafe sex is one of the cause but they are others, so please dont live by hear saying clues.
 
Pole sana mkuu. Sasa hivi hata HIV inaambulizwa kwa njia ya ngono tu? Acheni utani wasomi wa JF.
 
Habari za muda huu wanajf?

napenda kuwajulisha ya kwamba ninaumwa nimegundulika nina homa ya ini "hapetitisB" nipo kwa matibabu tangu juzi Agakhan hospital kwahyo tuombeane.

Nimemiss michango yenu na pia kuona post zinazotujenga vijana, hapa nina drip lakini nimemwambia mke wangu pc yangu ni muhimu ili leo nione notifications zilizonifikia.Otherwise najisikia vizuri kiasi ukizingatia na siku nimekuja.
Pole sana kwa kuumwa na Maradhi ya Hepatiti B ambayo haina Dawa Ma-Hospitalini ukitaka Dawa ya kutibu Maradhi ya Hepatiti B nitafute kwa wakati wako bonyeza hapa.Mawasiliano

MziziMkavu njoo huku tunatoana mimacho sasa hivi.
Bibie salama lakini Mamndenyi
 
MziziMkavu njoo huku tunatoana mimacho sasa hivi.

Hepatitis B infection is caused by the hepatitis B virus (HBV). The virus is passed from person to person through blood, semen or other body fluids. When HBV enters your liver, it invades the liver cells and begins to multiply. This causes inflammation in the liver and leads to the signs and symptoms of hepatitis B infection.
Common ways HBV is transmitted include:

  • Sexual contact. You may become infected if you have unprotected sexual contact with an infected partner whose blood, saliva, semen or vaginal secretions enter your body.
  • Sharing of needles. HBV is easily transmitted through needles and syringes contaminated with infected blood. Sharing intravenous (IV) drug paraphernalia puts you at high risk of hepatitis B.
  • Accidental needle sticks. Hepatitis B is a concern for health care workers and anyone else who comes in contact with human blood.
  • Mother to child. Pregnant women infected with HBV can pass the virus to their babies during childbirth.
[h=3]Acute vs. chronic hepatitis B[/h] Hepatitis B infection may be either short-lived (acute hepatitis B) or long lasting (chronic hepatitis B).

  • Acute hepatitis B infection lasts less than six months. If the disease is acute, your immune system is usually able to clear the virus from your body, and you should recover completely within a few months. Most people who acquire hepatitis B as adults have an acute infection.
  • Chronic hepatitis B infection lasts six months or longer. When your immune system can't fight off the virus, hepatitis B infection may become lifelong, possibly leading to serious illnesses such as cirrhosis and liver cancer. Most infants infected with HBV at birth and many children infected between 1 and 5 years of age become chronically infected. Chronic infection may go undetected for decades until a person becomes seriously ill from liver disease.
Hepatitis B Causes - Diseases and Conditions - Mayo Clinic
 
Back
Top Bottom