Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,857
bahati mbaya naumwa sitapata muda wa kumtafuta nimpe salamu zako ndugu lakini ntajitahidi
Ugua pole ndugu
bahati mbaya naumwa sitapata muda wa kumtafuta nimpe salamu zako ndugu lakini ntajitahidi
Aiseeee1 pole kiongozi! pona haraka urudi jamvini sisi leo hatuondoki hadi tukuone mkuu.
Habari za muda huu wanajf?
napenda kuwajulisha ya kwamba ninaumwa nimegundulika nina homa ya ini "hapetitisB" nipo kwa matibabu tangu juzi Agakhan hospital kwahyo tuombeane.
Nimemiss michango yenu na pia kuona post zinazotujenga vijana, hapa nina drip lakini nimemwambia mke wangu pc yangu ni muhimu ili leo nione notifications zilizonifikia.Otherwise najisikia vizuri kiasi ukizingatia na siku nimekuja.
Pole sana,ila mkeo nae apimwe,na kama ulishawahi kuchepuka hao pia wapimwe!Maana njia kubwa ya transmission ya huu ugonjwa ni Sexual intercourse
mchepuko kwangu hapana, wifi yako nimetoka nae mbali sana na sijawahi waza kuchepuka na Mungu anisaidie