Mwanadamu na maisha baada ya kifo

Mwanadamu na maisha baada ya kifo

Mjina Mrefu

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
3,048
Reaction score
3,409
Kumekua na imani na theories mbali mbali kuelezea maisha ya mwanadamu baada ya kifo. Kila mtu anaamini ktk chake kutokana na alivyoaminishwa.

Huko kwetu uchagani, ipo imani kuwa mtu akifa, hurudi kwa wajomba, hivyo wanafanya mila ya kwenda kumchukua kwa wajomba na kumrudisha kwa baba yake na anakua ancestor ambaye wanakua wakimwomba awasaidie kutatua matatizo pale wanapokumbwa na magumu.

Imani nyingi za kidini zinaeleza kuwa mtu akifa, kama alitenda mema, basi huenda mbinguni kwa Mungu kuishi kwa furaha na kama ulikua mwovu enzi za uhai wako, basi unadimbukizwa jehanamu kwenye everlasting fire..

Wapo wanaoamini kuwa mtu akifa ndo mwisho wake na hakuna maisha mengine baada ya hapo.

Binafsi mimi imani yangu ni ile ya kidini (Ukristo) kwamba mtu ataenda mbinguni baada ya kifo endapo alitenda mema,, na ataenda motoni endapo alitenda maovu..

Vipi wewe kwa upande wako unaamini vipi kuhusu hili?
 
Kumekua na imani na theories mbali mbali kuelezea maisha ya mwanadamu baada ya kifo. Kila mtu anaamini ktk chake kutokana na alivyoaminishwa.

Huko kwetu uchagani, ipo imani kuwa mtu akifa, hurudi kwa wajomba, hivyo wanafanya mila ya kwenda kumchukua kwa wajomba na kumrudisha kwa baba yake na anakua ancestor ambaye wanakua wakimwomba awasaidie kutatua matatizo pale wanapokumbwa na magumu.

Imani nyingi za kidini zinaeleza kuwa mtu akifa, kama alitenda mema, basi huenda mbinguni kwa Mungu kuishi kwa furaha na kama ulikua mwovu enzi za uhai wako, basi unadimbukizwa jehanamu kwenye everlasting fire..

Wapo wanaoamini kuwa mtu akifa ndo mwisho wake na hakuna maisha mengine baada ya hapo.

Binafsi mimi imani yangu ni ile ya kidini (Ukristo) kwamba mtu ataenda mbinguni baada ya kifo endapo alitenda mema,, na ataenda motoni endapo alitenda maovu..

Vipi wewe kwa upande wako unaamini vipi kuhusu hili?
Watu wataenda mbinguni ama Jehanum siku ya kiama na sio sasa... Kilichopo sasa hivi mtu akifa ni roho yake kutohangajka popote kama alitenda mema... Hii ndio dhana ya mbinguni na kwa wale waliotenda mabaya roho zao hutangatanga huku na kule na kukutana na mambo mabaya mengi... Hii ndio dhana ya Jehanum kwa sasa... Wafu wote wanasubiri parapanda kuu... Siku ya kiama ama hukumu kuu
Vilevile umemsahau na wanaoamini katika maisha baada ya kifo -reincarnation
 
Watu wataenda mbinguni ama Jehanum siku ya kiama na sio sasa... Kilichopo sasa hivi mtu akifa ni roho yake kutohangajka popote kama alitenda mema... Hii ndio dhana ya mbinguni na kwa wale waliotenda mabaya roho zao hutangatanga huku na kule na kukutana na mambo mabaya mengi... Hii ndio dhana ya Jehanum kwa sasa... Wafu wote wanasubiri parapanda kuu... Siku ya kiama ama hukumu kuu
Vilevile umemsahau na wanaoamini katika maisha baada ya kifo -reincarnation
Anhaa sawa.. Kumbe siku ya kiama ndo judgment day ambapo kondoo na mbuzi wanatengwa..

Alafu mshana kumbe imani yako ipo upande wa kidini pia.. Sikutegemea hahaha
 
Mtu akifa ,roho hurudi kwa mwenye nayo (uwe mdhambi uwe mwema inarudi tu).

Mwili siunajua ni mavumbi ??? Basi namavumbi yanajitwalia mavumbi yake.


Ivyo tuu....ila ukianza kujiuliza maswali mengiiiiii huwezi kupata jibu Unless afufuke MTU atuambie !!.
 
Mimi naomba nilikatishe jukwaa hili kutokuwa na matumaini hewa!! Hakuna maisha baada ya kifo. Umekwisha umekwisha tu. Hii tuliyonayo ni huruma za mwanaadamu kuelekea kifo!! Tusingependa kutenganishwa na wapendwa wetu for good, badala yake tunabaki kwenye matumaini haya hewa ya kuonana paradiso

Hii ni imani yangu na si ya jumuia yoyote
 
Mtu akifa ,roho hurudi kwa mwenye nayo (uwe mdhambi uwe mwema inarudi tu).

Mwili siunajua ni mavumbi ??? Basi namavumbi yanajitwalia mavumbi yake.


Ivyo tuu....ila ukianza kujiuliza maswali mengiiiiii huwezi kupata jibu Unless afufuke MTU atuambie !!.
Roho inarudi kwa mwenye nayo kuishi au kufanya nn?
 
Roho inarudi kwa mwenye nayo kuishi au kufanya nn?
Mkuuu hapo sijui sana wana theology wangetusaidia ,ila ninaamin Roho inarudi nakuendelea kuishi ,, ikingoja siku ya hukumu ,ikuvae tena alafu ndo mengine yafuate !!.

Ujue swali nihili ,Roho ninin ? Inafananaje ?
 
Kumekua na imani na theories mbali mbali kuelezea maisha ya mwanadamu baada ya kifo. Kila mtu anaamini ktk chake kutokana na alivyoaminishwa.

Huko kwetu uchagani, ipo imani kuwa mtu akifa, hurudi kwa wajomba, hivyo wanafanya mila ya kwenda kumchukua kwa wajomba na kumrudisha kwa baba yake na anakua ancestor ambaye wanakua wakimwomba awasaidie kutatua matatizo pale wanapokumbwa na magumu.

Imani nyingi za kidini zinaeleza kuwa mtu akifa, kama alitenda mema, basi huenda mbinguni kwa Mungu kuishi kwa furaha na kama ulikua mwovu enzi za uhai wako, basi unadimbukizwa jehanamu kwenye everlasting fire..

Wapo wanaoamini kuwa mtu akifa ndo mwisho wake na hakuna maisha mengine baada ya hapo.

Binafsi mimi imani yangu ni ile ya kidini (Ukristo) kwamba mtu ataenda mbinguni baada ya kifo endapo alitenda mema,, na ataenda motoni endapo alitenda maovu..

Vipi wewe kwa upande wako unaamini vipi kuhusu hili?
Imani yako uiitayo ya UKRISTO katika paragraph ya pili toka mwisho kuwa mtu mwema/alotenda mema huenda mbinguni mara tu afapo .... na alotenda maovu huenda motoni mara tu afapo SI KWELI .... Ni MAANDIKO YAPI yanathibitisha hilo? Cause I'm a Christian too ....
 
Watu wataenda mbinguni ama Jehanum siku ya kiama na sio sasa... Kilichopo sasa hivi mtu akifa ni roho yake kutohangajka popote kama alitenda mema... Hii ndio dhana ya mbinguni na kwa wale waliotenda mabaya roho zao hutangatanga huku na kule na kukutana na mambo mabaya mengi... Hii ndio dhana ya Jehanum kwa sasa... Wafu wote wanasubiri parapanda kuu... Siku ya kiama ama hukumu kuu
Vilevile umemsahau na wanaoamini katika maisha baada ya kifo -reincarnation
Nijuze zaidi kuhusu REINCANATION tafadhali ...
 
Watu wataenda mbinguni ama Jehanum siku ya kiama na sio sasa... Kilichopo sasa hivi mtu akifa ni roho yake kutohangajka popote kama alitenda mema... Hii ndio dhana ya mbinguni na kwa wale waliotenda mabaya roho zao hutangatanga huku na kule na kukutana na mambo mabaya mengi... Hii ndio dhana ya Jehanum kwa sasa... Wafu wote wanasubiri parapanda kuu... Siku ya kiama ama hukumu kuu
Vilevile umemsahau na wanaoamini katika maisha baada ya kifo -reincarnation
Mshana,wagaya nedho avae.Ikirao,nikuvwije,we ukifyua une yoa nahi ombe naao maburi ako?Mshana wee, shigha avae ra ao maburi ako utonge he ivundee we mwanae,aa.
 
Uzuri ukitubu dakika tano kabla ya kifo unasamehewa makosa yako yote, mimi nasubiri nikianza kuugua pale nitakapoona kuwa huu ugonjwa siwezi kupona ndiyo nitatubu dhambi zangu ili nikaendelee kula raha kwa Mungu
 
Back
Top Bottom