Mwanadamu na maisha baada ya kifo

Mwanadamu na maisha baada ya kifo

Hakuna kiama mamii,,hzo ni uongezwaji wa chumv kwenye maandiko mbali mbal ya dini mbali mbali

Kumbuka maandiko hayo yaliandikwa na watu km ww tuu,,so haishindikan kuwa walikuwa na maslahi binafsi juu ya maandiko hayo
Je waamini hata Mungu pia hayupo?
 
Ww ndo huelewi dogo? Hapo nimeongelea kifo cha mwili kinachoogopwa na watu wengi, ile ni transition from one life to another

Miili ingekuwa haifi trust me tungekuwa bored, and the good thing after transition hautakuwa na kumbukumbu yoyote kuhusu ur previous life
TRANSITION FROM ONE LIFE TO ANOTHER .... kiongozi THEORY hiyo mwanzilishi wake ni nani?
 
Uzuri ukitubu dakika tano kabla ya kifo unasamehewa makosa yako yote, mimi nasubiri nikianza kuugua pale nitakapoona kuwa huu ugonjwa siwezi kupona ndiyo nitatubu dhambi zangu ili nikaendelee kula raha kwa Mungu
Dah kuna kufa umelala mkuu,ajali,au kuanguka tuu ghafla...usisubiri uumwe ww kuwa tayari muda wote.
 
Ukisooma dini vyema utajua roho nikitu gani na hao wanasayansi wenyew huwa wanasoma sana dini kwasababu dini imeeleza kila jambo ambalo litatokea na ambayo tamesha tokea kwanzia kuumbwa kwa mbingu na kila kitu hadi mwanadam na ina mwisho pia
Ni kifungu kipi kwenye maandiko ya kidini yaliyoelezea kuhusu roho nikasome deeply
 
Kumekua na imani na theories mbali mbali kuelezea maisha ya mwanadamu baada ya kifo. Kila mtu anaamini ktk chake kutokana na alivyoaminishwa.

Huko kwetu uchagani, ipo imani kuwa mtu akifa, hurudi kwa wajomba, hivyo wanafanya mila ya kwenda kumchukua kwa wajomba na kumrudisha kwa baba yake na anakua ancestor ambaye wanakua wakimwomba awasaidie kutatua matatizo pale wanapokumbwa na magumu.

Imani nyingi za kidini zinaeleza kuwa mtu akifa, kama alitenda mema, basi huenda mbinguni kwa Mungu kuishi kwa furaha na kama ulikua mwovu enzi za uhai wako, basi unadimbukizwa jehanamu kwenye everlasting fire..

Wapo wanaoamini kuwa mtu akifa ndo mwisho wake na hakuna maisha mengine baada ya hapo.

Binafsi mimi imani yangu ni ile ya kidini (Ukristo) kwamba mtu ataenda mbinguni baada ya kifo endapo alitenda mema,, na ataenda motoni endapo alitenda maovu..

Vipi wewe kwa upande wako unaamini vipi kuhusu hili?
Mtu akifa, nyama ya udongo. Anasahaulika taratibu, kimyakimya na maisha yanaendelea kama vile hakupata kuwepo/kuishi duniani.
 
Imani yangu kuhusu mtu akifa nikwamba , ile roho inaingia kwenye kiumbe kingine kinachozaliwa , ila kama jinsia haibadiliki,

Kama roho ilitoka kwenye jinsia ya kiume basi itaingia kwenye kiumbe kingine cha kiume kinacho zaliwa,

Roho za binadamu kwa binadamu, wanyama kwa wanyama, wadudu kwa wadudu nk
 
Take ur time to read this short story..

An Egg Story..

You were on your way home when you died. It was a car accident. Nothing particularly remarkable, but fatal nonetheless. You left behind a wife and two children. It was a painless death. The EMTs tried their best to save you, but to no avail. Your body was so utterly shattered you were better off, trust me. And that's when you met me. "What… what happened?" You asked. "Where am I?"
"You died," I said, matter-of-factly. No point in mincing words. "There was a… a truck and it was skidding…"
"Yup," I said.
"I… I died?"
"Yup. But don't feel bad about it. Everyone dies," I said. You looked around. There was nothingness. Just you and me.
"What is this place?" You asked. "Is this the afterlife?"
"More or less," I said.
"Are you god?" You asked.
"Yup," I replied. "I'm God."
"My kids… my wife," you said. "What about them?"
"Will they be all right?"
"That's what I like to see," I said. "You just died and your main concern is for your family. That's good stuff right there."
You looked at me with fascination. To you, I didn't look like God. I just looked like some man. Or possibly a woman. Some vague authority figure, maybe. More of a grammar school teacher than the almighty.
"Don't worry," I said. "They'll be fine. Your kids will remember you as perfect in every way. They didn't have time to grow contempt for you. Your wife will cry on the outside, but will be secretly relieved. To be fair, your marriage was falling apart. If it's any consolation, she'll feel very guilty for feeling relieved."
"Oh," you said. "So what happens now? Do I go to heaven or hell or something?"
"Neither," I said. "You'll be reincarnated."
"Ah," you said. "So the Hindus were right,"
"All religions are right in their own way," I said. "Walk with me." You followed along as we strode through the void. "Where are we going?"
"Nowhere in particular," I said. "It's just nice to walk while we talk."
"So what's the point, then?" You asked. "When I get reborn, I'll just be a blank slate, right? A baby. So all my experiences and everything I did in this life won't matter."
"Not so!" I said. "You have within you all the knowledge and experiences of all your past lives. You just don't remember them right now." I stopped walking and took you by the shoulders. "Your soul is more magnificent, beautiful, and gigantic than you can possibly imagine. A human mind can only contain a tiny fraction of what you are. It's like sticking your finger in a glass of water to see if it's hot or cold. You put a tiny part of yourself into the vessel, and when you bring it back out, you've gained all the experiences it had.
"You've been in a human for the last 48 years, so you haven't stretched out yet and felt the rest of your immense consciousness. If we hung out here for long enough, you'd start remembering everything. But there's no point to doing that between each life."
"How many times have I been reincarnated, then?"
"Oh lots. Lots and lots. An in to lots of different lives and experiences." I said. "This time around, you'll be a Chinese peasant girl. "Wait, what?"
"Time, as you know it, only exists in your universe. Things are different where I come from."
"Where you come from?" You said.
"Oh sure," I explained "I come from somewhere. Somewhere else. And there are others like me. I know you'll want to know what it's like there, but honestly you wouldn't understand."
"Oh," you said, a little let down. "But wait. If I get reincarnated to other places in time, I could have interacted with myself at some point."
"Sure. Happens all the time. And with both lives only aware of their own lifespan you don't even know it's happening."
"So what's the point of it all?"
"Seriously?" I asked. "Seriously? You're asking me for the meaning of life? Isn't that a little stereotypical?"
"Well it's a reasonable question," you persisted.
I looked you in the eye. "The meaning of life, the reason I made this whole universe, is for you to mature."
"You mean mankind? You want us to mature?"
"No, just you. I made this whole universe for you. With each new life you grow and mature and become a larger and greater intellect."
"Just me? What about everyone else?"
"There is no one else," I said. "In this universe, there's just you and me."
You stared blankly at me. "But all the people on earth…"
"All you. Different incarnations of you."
"Wait. I'm everyone!?"
"Now you're getting it," I said, with a congratulatory slap on the back.
"I'm every human being who ever lived?"
"Or who will ever live, yes."
"I'm Abraham Lincoln?"
"And you're John Wilkes Booth, too," I added.
"I'm Hitler?" You said, appalled.
"And you're the millions he killed."
"I'm Jesus?"
"And you're everyone who followed him."
You fell silent.
"Every time you victimized someone," I said, "you were victimizing yourself. Every act of kindness you've done, you've done to yourself. Every happy and sad moment ever experienced by any human was, or will be, experienced by you."
You thought for a long time.
"Why?" You asked me. "Why do all this?"
"Because someday, you will become like me. Because that's what you are. You're one of my kind. You're my child."
"Whoa," you said, incredulous. "You mean I'm a god?"
"No. Not yet. You're a fetus. You're still growing. Once you've lived every life and experiences throughout all time, you will have grown enough to be born."
"So the whole universe," you said, "it's just…"
"An egg." I answered.
Now it's time for you to move on to your next life...
Mpaka uote Meno, Ndo utatafuna hii.Safi

Sikutegemea Kama Kuna
Pacha Wangu humu!
 
Ni kifungu kipi kwenye maandiko ya kidini yaliyoelezea kuhusu roho nikasome deeply

MANENO HAYA ALIYASEMA YESU MWENYEWE- LUKA 16:

19 Akasema, “Palikuwa na tajiri mmoja aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, nguo za gharama kubwa, kila siku. 20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima, alikuwa akiletwa mlangoni kwa huyo tajiri kila siku. 21 Lazaro alikuwa akitamani kula makombo yaliyodondoka mezani kwa tajiri. Hata mbwa walikuwa wakiramba vidonda vyake.

22 “Hatimaye, yule maskini alikufa. Malaika wakamchukua akakae pamoja na Ibrahimu mbinguni. Yule tajiri naye pia akafa, akazikwa. 23 Alipokuwa kuzimuni ambapo alikuwa akiteseka, alita zama juu, akamwona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro karibu yake. 24 Akaita, ‘Baba Ibrahimu, nionee huruma umtume Lazaro achovye japo ncha ya kidole chake katika maji aupoze ulimi wangu maana ninateseka kwenye moto huu.’ 25 Lakini Ibrahimu akamjibu, ‘Mwa nangu, kumbuka kwamba ulipokuwa hai ulipata kila kitu kizuri uli chotaka, ambapo Lazaro alipokea mabaya. Lakini sasa anafarijika hapa na wewe unateseka. 26 Isitoshe, kati yetu na ninyi huko, kumewekwa bonde kubwa lisilopitika ili wale wanaotaka kutoka huku kuja huko au kutoka huko kuja huku wasiweze.’ 27 Akasema, ‘Basi, baba, tafadhali umtume Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu, 28 awaonye ndugu zangu, wasije wao pia wakaletwa mahali hapa pa mateso watakapokufa.’ 29 Ibrahimu akamjibu, ‘Ndugu zako wanazo sheria za Musa na maandiko ya Manabii. Itawapasa watii hayo.’ Lakini yule tajiri akazidi kumsihi, 30 ‘Hapana baba Ibrahimu, ndugu zangu hawatashawishiwa na hayo. Lakini mtu kutoka kuzimu akitumwa kwao watatubu na kuziacha dhambi zao.’

31 “Ibrahimu akamwambia, ‘Wasiposikiliza na kutii sheria za Musa na Maandiko ya manabii, hawatashawishika kutubu hata kama mtu akifufuka kutoka kuzimu.”’
 
Ni kifungu kipi kwenye maandiko ya kidini yaliyoelezea kuhusu roho nikasome deeply

UFUNUO WA YOHANA: SURA 20
11 Kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe, na yule aketiye juu yake. Dunia na mbingu vikatoweka mbele ya macho yake, na havikuonekana tena. 12 Kisha nikawaona watu wakubwa na wadogo, wamesimama mbele ya kiti cha enzi, na vitabu vikafunguliwa. Halafu kitabu kingine, yaani kitabu cha uzima, kikafunguliwa pia. Wafu wakahukumiwa kadiri ya matendo yao, kama ilivyoandikwa ndani ya vitabu hivyo. 13 Bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake; kifo na kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao. Kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake. 14 Kisha kifo na kuzimu vikatupwa ndani ya ziwa la moto. Ziwa hili la moto ndicho kifo cha pili. 15 Mtu yeyote ambaye jina lake halikupatikana limeandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika ziwa la moto.
 
Uzuri ukitubu dakika tano kabla ya kifo unasamehewa makosa yako yote, mimi nasubiri nikianza kuugua pale nitakapoona kuwa huu ugonjwa siwezi kupona ndiyo nitatubu dhambi zangu ili nikaendelee kula raha kwa Mungu

na ukikata kauli ghafla?
 
Iko hivi ukifa unakuwa umekufa kabisa. Yaani unakuwa haupo kabisa na kinachobakia ni mwili tu ambao nao unaanza kuoza. Roho ya Mwanadamu haina uwezo wa kuona, kusikia, kunusa, kuhisi, kufikiri, kuongea wala kufanya chochote kile. Roho ya Mwanadamu ni pumzi tu unayoivuta ukiwa hai. Kumbuka baada ya MUNGU kumuumba Mwanadamu wa kwanza, alimpulizia puani pumzi ya uhai ndipo Mwanadamu akawa kiumbe hai. Ili Mwanadamu awe kiumbe hai ni lazima mwili wake uungane na pumzi ya MUNGU. Unapokufa ile pumzi inamrudia MUNGU na kuifadhiwa, iwe ulitenda mema au mabaya haijalishi, pumzi zote zinahifadhiwa kwa MUNGU. Kumbuka nimekuambia kuwa pumzi haina ufahamu wowote ule.

Sasa kitakachofanyika siku ya mwisho, kwa uwezo alionao MUNGU atapuliza tarumbeta kubwa sana inajulikana kama "PARAPANDA", kwa kuipuliza parapanda hiyo, pumzi zile zilizohifadhiwa zitatoka kwenye parapanda hiyo na kurudi kwenye mifupa yote iliyolala popote pale na kuwafanya wote waliokufa kuwa hai tena. Unaweza ukasema sasa itakuwaje kwa wale waliokufa kwa kuteketea kwenye moto na mifupa yao kuungua kabisa? Jibu ni rahisi sana, MUNGU anauwezo wa kuwarudishia kila kitu, kuanzia mifupa yao na hata mavazi waliyokuwa wamevaa siku ile walipokuwa wakichomwa moto. Kama aliweza kumfinyanga Mwanadamu kutoka kwenye udongo, atashindwaje kuwafanya waliokufa hata kama ni kwa kuteketea kwenye moto kuwa hai tena??

Baada ya wafu kufufuliwa ndipo sasa watu wote watahukumiwa kwa kadiri ya matendo yao. Biblia imeandika vizuri sana kuhusu hili. Isitoshe MUNGU ni mwenye haki sana, hawezi kuwatupa kwenye moto sasa hivi baadhi ya wafu wanapokufa, kisha mwisho wa dunia awafufue na kuwatupa tena kwenye moto kwa mara ya pili? Kwa kuwa MUNGU ni mwenye haki, ndiyo maana ametenga siku moja tu ya hukumu kwa watu wote, wafu na walio hai (kumbuka pia imeandikwa siyo watu wote wataonja mauti, kuna watu hawatakufa kabisa).

Tena kuna watu waliokufa zamani walishafufuliwa tayari. Watu hao ni Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Na wengine ni Musa, Eliya na wengine wengi tu bila kumsahau MESSIAH (YESU KRISTO). Ukitaka kujua kuna watu wamefufuliwa tayari, soma Biblia yako; MATHAYO 27:51-53. Pia ukisoma Biblia yako utaona Yohana anaelezea katika kitabu cha UFUNUO kuwa aliwaona Wazee 24 wakiwa Mbinguni pamoja na MUNGU. UFUNUO 4:4, 5:5. Hivyo basi ili uweze kufika kwa MUNGU ni lazima ufufuliwe kwanza, sababu pia imeandikwa MUNGU siyo MUNGU wa wafu, bali ni MUNGU wa walio hai.

Kuna wengine watasema hapa inakuwaje basi wakati mwingine tunatokewa na ndugu zetu waliokufa? Yule anayekutokea baada ya ndugu yako kufa siyo yeye aliyekufa, bali ni shetani, anajibadilisha na kuwa na sura kama ya ndugu yako na kukutokea ili kukudanganya na kukupoteza ili uamini kuwa watu wakifa wanaendelea kuishi.

Kumbuka shetani alimdanganya HAWA pale Bustanini kwa kumwambia kuwa; akila matunda ya Mti ule hatakufa kabisa, bali atakuwa kama MUNGU akijua mema na mabaya. Sasa ili shetani aendelee kuutetea huu uwongo wake ndiyo maana mtu akifa, shetani hujibadilisha na kujifanya yeye ni yule mtu na kuwatokea ndugu na hata wakati mwingine kuongea nao na kuwaambai ili wafanikiwe kwenye maisha, wafanye mambo fulani fulani, kama kuchinja Mbuzi juu kaburi au kutoa sadaka fulani. Kwa kufanya hivi shetani anakuwa anawadanganya watu hao na wanaanza kuwaabudu wafu badala ya kumwabudu MUNGU. Tena siyo wanawaabudu wafu, hapana bali wanamwabudu shetani mwenyewe bila ya wao kujua.

Biblia imonya kuwa shetani ni mjanja sana na mweruvu. Tunapaswa kumwomba MUNGU sana ili tuing'amue mitego na uwongo wa huyu Ibilisi. Mbaya zaidi uwongo wake huu, ameueneza mpaka kwenye Makanisa. Makanisa mengi sana yanaamini eti mtu akifa anaendelea kuishi wakati siyo kweli. MUNGU alisema hivi; "U mavumbi wewe, na mavumbini utarudi".

Safi sana umechambua vizuri kabisa.
 
Ww ndo huelewi dogo? Hapo nimeongelea kifo cha mwili kinachoogopwa na watu wengi, ile ni transition from one life to another

Miili ingekuwa haifi trust me tungekuwa bored, and the good thing after transition hautakuwa na kumbukumbu yoyote kuhusu ur previous life
Ndo wanasayansi wanasema hivyo? Kwamba kufa ni transition?
 
Iko hivi ukifa unakuwa umekufa kabisa. Yaani unakuwa haupo kabisa na kinachobakia ni mwili tu ambao nao unaanza kuoza. Roho ya Mwanadamu haina uwezo wa kuona, kusikia, kunusa, kuhisi, kufikiri, kuongea wala kufanya chochote kile. Roho ya Mwanadamu ni pumzi tu unayoivuta ukiwa hai. Kumbuka baada ya MUNGU kumuumba Mwanadamu wa kwanza, alimpulizia puani pumzi ya uhai ndipo Mwanadamu akawa kiumbe hai. Ili Mwanadamu awe kiumbe hai ni lazima mwili wake uungane na pumzi ya MUNGU. Unapokufa ile pumzi inamrudia MUNGU na kuifadhiwa, iwe ulitenda mema au mabaya haijalishi, pumzi zote zinahifadhiwa kwa MUNGU. Kumbuka nimekuambia kuwa pumzi haina ufahamu wowote ule.

Sasa kitakachofanyika siku ya mwisho, kwa uwezo alionao MUNGU atapuliza tarumbeta kubwa sana inajulikana kama "PARAPANDA", kwa kuipuliza parapanda hiyo, pumzi zile zilizohifadhiwa zitatoka kwenye parapanda hiyo na kurudi kwenye mifupa yote iliyolala popote pale na kuwafanya wote waliokufa kuwa hai tena. Unaweza ukasema sasa itakuwaje kwa wale waliokufa kwa kuteketea kwenye moto na mifupa yao kuungua kabisa? Jibu ni rahisi sana, MUNGU anauwezo wa kuwarudishia kila kitu, kuanzia mifupa yao na hata mavazi waliyokuwa wamevaa siku ile walipokuwa wakichomwa moto. Kama aliweza kumfinyanga Mwanadamu kutoka kwenye udongo, atashindwaje kuwafanya waliokufa hata kama ni kwa kuteketea kwenye moto kuwa hai tena??

Baada ya wafu kufufuliwa ndipo sasa watu wote watahukumiwa kwa kadiri ya matendo yao. Biblia imeandika vizuri sana kuhusu hili. Isitoshe MUNGU ni mwenye haki sana, hawezi kuwatupa kwenye moto sasa hivi baadhi ya wafu wanapokufa, kisha mwisho wa dunia awafufue na kuwatupa tena kwenye moto kwa mara ya pili? Kwa kuwa MUNGU ni mwenye haki, ndiyo maana ametenga siku moja tu ya hukumu kwa watu wote, wafu na walio hai (kumbuka pia imeandikwa siyo watu wote wataonja mauti, kuna watu hawatakufa kabisa).

Tena kuna watu waliokufa zamani walishafufuliwa tayari. Watu hao ni Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Na wengine ni Musa, Eliya na wengine wengi tu bila kumsahau MESSIAH (YESU KRISTO). Ukitaka kujua kuna watu wamefufuliwa tayari, soma Biblia yako; MATHAYO 27:51-53. Pia ukisoma Biblia yako utaona Yohana anaelezea katika kitabu cha UFUNUO kuwa aliwaona Wazee 24 wakiwa Mbinguni pamoja na MUNGU. UFUNUO 4:4, 5:5. Hivyo basi ili uweze kufika kwa MUNGU ni lazima ufufuliwe kwanza, sababu pia imeandikwa MUNGU siyo MUNGU wa wafu, bali ni MUNGU wa walio hai.

Kuna wengine watasema hapa inakuwaje basi wakati mwingine tunatokewa na ndugu zetu waliokufa? Yule anayekutokea baada ya ndugu yako kufa siyo yeye aliyekufa, bali ni shetani, anajibadilisha na kuwa na sura kama ya ndugu yako na kukutokea ili kukudanganya na kukupoteza ili uamini kuwa watu wakifa wanaendelea kuishi.

Kumbuka shetani alimdanganya HAWA pale Bustanini kwa kumwambia kuwa; akila matunda ya Mti ule hatakufa kabisa, bali atakuwa kama MUNGU akijua mema na mabaya. Sasa ili shetani aendelee kuutetea huu uwongo wake ndiyo maana mtu akifa, shetani hujibadilisha na kujifanya yeye ni yule mtu na kuwatokea ndugu na hata wakati mwingine kuongea nao na kuwaambai ili wafanikiwe kwenye maisha, wafanye mambo fulani fulani, kama kuchinja Mbuzi juu kaburi au kutoa sadaka fulani. Kwa kufanya hivi shetani anakuwa anawadanganya watu hao na wanaanza kuwaabudu wafu badala ya kumwabudu MUNGU. Tena siyo wanawaabudu wafu, hapana bali wanamwabudu shetani mwenyewe bila ya wao kujua.

Biblia imonya kuwa shetani ni mjanja sana na mweruvu. Tunapaswa kumwomba MUNGU sana ili tuing'amue mitego na uwongo wa huyu Ibilisi. Mbaya zaidi uwongo wake huu, ameueneza mpaka kwenye Makanisa. Makanisa mengi sana yanaamini eti mtu akifa anaendelea kuishi wakati siyo kweli. MUNGU alisema hivi; "U mavumbi wewe, na mavumbini utarudi".

Maelezo mazuri sana mkuu..

Ila hujaweka reference ya hoja ya kwamba, roho ni pumzi na haioni wala kuwa na ufahamu..
 
Back
Top Bottom