huwa tunawasiliana kwa simu na saut yake nimeisikia kanitumia pcha zaid ya saba,nimejua ni mwanadada coz nkimwambia anitumie pcha ananitumia muda huo huo kwa mapoz ninayohtaj mim
mods ni jamaa flani humu ndani wameajiriwa kwa ajili ya kufuta thread za watu na kuwafungia hawataki uandike wasichokipenda
pm ni ujumbe wa siri ambao mara nyingi hulahisha utongozaji humu