ahahahahaa unahisi mimi nimeishia la ngapi
ahahahaa kweli wanwake mnapenda ku predict
Kama una elimu duni asikwambie mtu utakuja julikana na rangi zako halisi zitaonekana,,Mi sina kitu sio muhuni ila nimekupenda kutoka moyoni.Simple tu mtoto kanielewa hajaangalia upstair wala downstair.Life goes on.
nimekupenda bureNipo tayari kikubwa tu awe na mapenzi ya kwel kwangu,anaheshimu,anijali(hapa simaanisha kifedha),awe na hofu ya mungu.Maisha tutatafuta pamoja tena bila kukata tamaa na furaha tele
shukran mkuunimekupenda bure
🤣🤣🤣🤣 Eti asiwe. Na shida binafsiNdio nitakubali kwasababu nimempenda yeye na sio uchumi wake au elimu yake LAKINI asiwe na mashida binafsi aseee