fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,413
- 7,967
Ni dosari tu itarekebishwaUkisikia watu wanasema ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni basi ndio hii.
Mmoja wa mwanachuo wanaoanza mwaka huu, atapewa sh.2750 kwa mwaka.
Kwa lugha nyepesi kabisa huyu mwanachuo anapaswa kutumia Sh.10 kwa siku ili aweze kusoma semister zote mbili kwa mwaka.
Yes, Sh.10. mwenye ushauri atoe ili dogo aweze ku-survive chuo kwa hiyo sh.10 kwa siku.
......kazi iendeleee.......
View attachment 1984548
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app