KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
Qur'an 110:
1. Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, 1 2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi, 2 3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba. 3
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.