Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 757
Naandika huu uzi nikiwa sina maelewano na mama watoto wangu.
Hii ni baada ya jana usiku nikiwa nimelala , alichukua simu yangu na kuanza kupekua kila sehemu. Kawaida mke wangu hua anapenda saaana kukagua simu yangu sehemu tofauti tofauti. Ikiwemo SMS, MISSED CALLS, WHATSAPP n.k.
Hua namuonyaga kuwa si busara sana kufanya hivyo (uchunguzi wa kila siku) kwani mimi simu yake sina muda nayo.
SASA BASI.
Jana usiku Alifanikiwa kuingia katika moja ya mitandao ya kijamii ninayotumia na kukuta madudu yangu ya muda mreeeefu.
Alifanikiwa kukuta mawasiliano ya moja kwa moja na wanawake tofauti tofauti. Miongoni mwayo ni mitongozo na picha mbali mbali za nyuchi ambazo zilitumiwa na moja ya wanadamu hao.
Mbali na picha za nyuchi pia alikuta baadhi ya mawasiliano ya mahaba yaliyo ambatana na lugha sanifu na za kuvutia. Baada ya kujiridhisha kwa ambacho alikuwa anakitafutia, basi aliniamsha na kunionesha Madudu yale laivu.
Sikuwa na njia ya kujitetea kwa muda huo, wala sikuhamaki kwa jambo lile kwani lilikuwa ndio tayari limeshanikuta.
LEO ASUBUHI
Nimeondoka nyumbani tukiwa hatuongei chochote zaidi ya kumuachia pesa ya matumizi kisha nikatembea. Ameahidi kupiga simu kwa wazazi na kuwaeleza sakata zima jinsi lilivyo. Kwani kilio kimechukua sehemu kubwa ya maisha yake ya leo.
Lakini hapo ndipo nikaamini wasemavyo wakubwa kuwa
"MWANA KULITAFUTA - MWANA KULIPATA"
Lakini pamoja na yote hayo naomba msaada tafadhali.
Nini kifanyike upande wangu ili kuendelea na amani yangu ya moyo?
Maswali yatajibiwa
Asanteni.
Hii ni baada ya jana usiku nikiwa nimelala , alichukua simu yangu na kuanza kupekua kila sehemu. Kawaida mke wangu hua anapenda saaana kukagua simu yangu sehemu tofauti tofauti. Ikiwemo SMS, MISSED CALLS, WHATSAPP n.k.
Hua namuonyaga kuwa si busara sana kufanya hivyo (uchunguzi wa kila siku) kwani mimi simu yake sina muda nayo.
SASA BASI.
Jana usiku Alifanikiwa kuingia katika moja ya mitandao ya kijamii ninayotumia na kukuta madudu yangu ya muda mreeeefu.
Alifanikiwa kukuta mawasiliano ya moja kwa moja na wanawake tofauti tofauti. Miongoni mwayo ni mitongozo na picha mbali mbali za nyuchi ambazo zilitumiwa na moja ya wanadamu hao.
Mbali na picha za nyuchi pia alikuta baadhi ya mawasiliano ya mahaba yaliyo ambatana na lugha sanifu na za kuvutia. Baada ya kujiridhisha kwa ambacho alikuwa anakitafutia, basi aliniamsha na kunionesha Madudu yale laivu.
Sikuwa na njia ya kujitetea kwa muda huo, wala sikuhamaki kwa jambo lile kwani lilikuwa ndio tayari limeshanikuta.
LEO ASUBUHI
Nimeondoka nyumbani tukiwa hatuongei chochote zaidi ya kumuachia pesa ya matumizi kisha nikatembea. Ameahidi kupiga simu kwa wazazi na kuwaeleza sakata zima jinsi lilivyo. Kwani kilio kimechukua sehemu kubwa ya maisha yake ya leo.
Lakini hapo ndipo nikaamini wasemavyo wakubwa kuwa
"MWANA KULITAFUTA - MWANA KULIPATA"
Lakini pamoja na yote hayo naomba msaada tafadhali.
Nini kifanyike upande wangu ili kuendelea na amani yangu ya moyo?
Maswali yatajibiwa
Asanteni.

