Kanuni kuu ya maisha "tenda kwa wengine upendavyo kutendewa "
Vipi akikausha, kesho usikie kampa utamuu house boy hadi gate keeper, wanao wote kawalisha tamu yake, ikiwa waweza potezea naww kwa hali kama hiyo basi mwambie -- -aamue lolote wewe kwako ni fair game
-Tengeneza mazingira ya suluhu na ku jirudia kwa uliyo tenda
Nyie ni mwili mmoja, ukaguzi ni haki yake cause ya protection ya mahusiano
Chief kuna amani ya roho pale nyumbani na wanafamilia mnapokuwa na amani, yaani ukiwa wa maliza majukumu waona ile appetite ya kurudi na kukaa na Familia yako, it aches ukiwa wa kosa hii opportunity, especially kwa mwanamke mlalamishi na mkorofi.