Mwana JF tuambie...

Amyner

JF-Expert Member
Jul 13, 2011
2,397
877
Habari za jioni wapendwa.. Hapa nilipo nakusanya makabrasha yangu tayari kwa kutoka kwa ofic kurudi nyumbani. Je wewe wafanya nini muda huu?
 
I am reading your post Amyner na kujifikiria kua ka wafanana na Radhia Sweety mrembo maarufu wa JF.
 
Niko njiani natoka shamba, nasoma threads jf kupitia kasimu kangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…