Nina Konyagi mzinga wa pili sasa hapa Fairway
fairway tegeta?
upande gani?
Ndo maana yake hapa karibu na jiko la nyama choma
ole wako nije nikukose...
but uko na nani????
Na MJ1 kwani uko mbali sana tunataka kuhama
basi next time..
mh dena usije ukazima tu.. Tukakuona kwenye magazeti kesho...
unakula nini? Usikute kitimoto mi sili hio...
Hazimi mtu hapa wewe