Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
Nakupenda.... Nihurumie na mimiNina huruma mpaka Imepitiliza. Hii imeleta madhara kwangu kwani baadhi ya watu huchukulia kama advantage kwao, wanajua siwezi kuchomoa wanapohitaji msaada wangu.
Lakini pamoja na hayo nimekuwa nikiufurahia huu udhaifu niliokuwa nao, naweza sema ni sehemu ya Furaha yangu. Najisikia amani na furaha kuona mtu mwingine kafanikiwa kupitia Mimi. Sipendi kuona mtu anateseka iwe kwa hali yoyote ile, na hata kwa wanyama pia.
Bwana yesu asifiwe wapendwa
Kama tunavyojua kwamba kila binadamu anaeishi chini ya jua ana mapungufu(No one is perfect under the sun).Mapungufu yetu au weakness zetu zinatusababishia hasara nyingi kuliko faida
Kwa upande wangu weakness inayonitesa zaidi ni Haya.Imenikosesha marafiki na fursa mbalimbali za maendeleo
Mwana JF share weakness yako na madhara yake
Avatar yako inanipa picha tofaut na ulichosemaUpole, kuna wakati nahitajika kutetea haki yangu au ya rafiki lkn upole wangu unanifanya ninyamaze niwe kimya.
Mimi pia mademu wa aina hiyo mm kwisha kabsTeh yan upo kama mimi..huwa nachanganyikiwa kabisa
mkuu hii sifa sasa!Napenda sana kufanya Mapenzi ' Mabao ' mengi na hii hali inanifanya Wanawake wengi ' wanikwepe ' huku kila nikiwaomba ' zigo ' tu wanasingizia Wanaumwa. Sipendi ' kumbandua ' Demu bao saba ( 7 ) hadi tisa ( 9 ) ila najikuta tu kila ninapokutana na Mwanamke ' natiririka ' nae hivyo na natamani mno nami niwe napiga tu bao ' moko ' au ' bee ' kama Wanaume wengine ila nashindwa.
Da pole mkuuNina huruma mpaka Imepitiliza. Hii imeleta madhara kwangu kwani baadhi ya watu huchukulia kama advantage kwao, wanajua siwezi kuchomoa wanapohitaji msaada wangu.
Lakini pamoja na hayo nimekuwa nikiufurahia huu udhaifu niliokuwa nao, naweza sema ni sehemu ya Furaha yangu. Najisikia amani na furaha kuona mtu mwingine kafanikiwa kupitia Mimi. Sipendi kuona mtu anateseka iwe kwa hali yoyote ile, na hata kwa wanyama pia.
Mwenyewe ninatatizo kama lako. Kunamuda mpaka nashindwa kutanisha mwezi wa mshaharaNina huruma mpaka Imepitiliza. Hii imeleta madhara kwangu kwani baadhi ya watu huchukulia kama advantage kwao, wanajua siwezi kuchomoa wanapohitaji msaada wangu.
Lakini pamoja na hayo nimekuwa nikiufurahia huu udhaifu niliokuwa nao, naweza sema ni sehemu ya Furaha yangu. Najisikia amani na furaha kuona mtu mwingine kafanikiwa kupitia Mimi. Sipendi kuona mtu anateseka iwe kwa hali yoyote ile, na hata kwa wanyama pia.