Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,388
Bwana Yesu asifiwe wapendwa,
Kama tunavyojua kwamba kila binadamu anaeishi chini ya jua ana mapungufu (No one is perfect under the sun). Mapungufu yetu au weakness zetu zinatusababishia hasara nyingi kuliko faida
Kwa upande wangu weakness inayonitesa zaidi ni Haya. Imenikosesha marafiki na fursa mbalimbali za maendeleo.
Mwana JF share weakness yako na madhara yake.
Kama tunavyojua kwamba kila binadamu anaeishi chini ya jua ana mapungufu (No one is perfect under the sun). Mapungufu yetu au weakness zetu zinatusababishia hasara nyingi kuliko faida
Kwa upande wangu weakness inayonitesa zaidi ni Haya. Imenikosesha marafiki na fursa mbalimbali za maendeleo.
Mwana JF share weakness yako na madhara yake.