Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
1. Alimshukuru Rais kwa maji Tabora.
1. Alimshukuru Rais kwa maji Tabora.
ndio maana hatuendelei kwani raisi kupeleka maji Tabora ni msaada au ni lazima.?
Daaaaah, issue sensitive kaigusia mwishoni! Anyway, walau tumeelewa kuwa dhamira ya kuliongelea hili alikuwa nayo.Naibu spika kamkatisha asizungumzie kutekwa kwa Dr. Ulimboka
kwa kweli liwalo na liwe
Nina wasiwasi kama atagusia hata moja kati ya yale tuliyomshauri agusie. Hajafikisha dk 5? Kagusa hata moja?
Daaaaah, issue sensitive kaigusia mwishoni! Anyway, walau tumeelewa kuwa dhamira ya kuliongelea hili alikuwa nayo.