Kama ni fursa kwani tatizo ni nini? Wewe endelea kuita dikteta uchwara wakati wenzako wanachangamkia fursa.Angeenda na sanduku huru la tume ya ushaguzi iliyo huru, huru hasa, kutuma huo ujumbe anaotaka kuutuna.. Harafu tungeona 2020 mwezi wa 11 amgepeanda na picha ya nani?.. Yaani imekuwa nifursa kutumia picha za na-dikteta uchwara.
Naona hata Millard Ayo ameipost.I dont trust what MwanaFA does!
Picha ipo photoshoped!
Just check it clearly!
Picha ya Magu ndio imeng’aa na ipo quality ya HD mengine yote ni dull!
I see fakery tupu hapo!
Halafu ni MwanaFA mpenda sifa kama Jiwe,unategemea nini?
Fakery!
Kama wapo nondo watupe true video tuone!
Naona hata Millard Ayo ameipost.
Hongera sana AY Hiyo picha ina maana kubwa sana. Kwa hiyo tu, mtu anaweza kuomba mkopo benki.
Millard Ayo nae si upo kwenye Online Propaganda Machine ya hii awamu!
Hana credibility pia!
MwanaFA is into fakery too much!
Hiyo Picha is staged mzee!
Watoe video pure tuone!
Unaona hiyo picha ya Magu aliyoishika mkononi?
Hiyo picha haiwezi kua kwenye HD kiasi hicho!
Jiwe handlers na MwanaFA wametuwekea fakery hapo!
Sure sure, kama leo Ruge wa IPTL kwenu kageuka malaika kweli ni wanafiki na hakuna mnachoweza kukiamani.Watanzania wengi wanafiki hawana wanachokiamini
Millard Ayo nae si upo kwenye Online Propaganda Machine ya hii awamu!
Hana credibility pia!
MwanaFA is into fakery too much!
Hiyo Picha is staged mzee!
Watoe video pure tuone!
Unaona hiyo picha ya Magu aliyoishika mkononi?
Hiyo picha haiwezi kua kwenye HD kiasi hicho!
Jiwe handlers na MwanaFA wametuwekea fakery hapo!
The piture is real. Kuna mwandishi wa TBC1 ameripoti akiwa na mmojawapo wa aliyepanda na hiyo picha.
Ally Choki kwasasa hana Afya yakupanda mlimani...Huo Ndio uzalendo
Safi sana ally choki mzee wa farasi
I dont trust what MwanaFA does!
Picha ipo photoshoped!
Just check it clearly!
Picha ya Magu ndio imeng’aa na ipo quality ya HD mengine yote ni dull!
I see fakery tupu hapo!
Halafu ni MwanaFA mpenda sifa kama Jiwe,unategemea nini?
Fakery!
Kama wapo nondo watupe true video tuone!
Ally Choki kwasasa hana Afya yakupanda mlimani...
(Mungu ni Msiri) sana.