Labda atakua ni godfather wake!!!
Karibu wote wan TV ofisini..........no wonder KANUMBA alizikwa vile
Sijawahi kufikiria hii kitu aisee. Najua zipo lakini kwenye publicity, sio private namna hii, hawaangalii porno kweli kwa style hii?
Hapa kwa Ngeleja wakati huo
hapo ndio nimemaliza english koz juzi tu kaka! nianze tena upya?duu!!unahitaji english course
me too wanna tell of the same to you and him or her of the what you see and of very his poor english! why talk the wrong of what you not sure of the spelling? why? be careful and not write dully! bad bad.
Hivi alienda kwa Waziri Mkuu kama kada wa CCM, kiongozi wa serikali au kwa vile ni binti wa Makamba?
Mwamvita alipokwenda kumuaga Waziri Mkuu Mh. Pinda ofisini kwake wiki iliyopita....
"Friends,
On the 1st of September 2012, I will officially start a new wave of my career in Johannesburg South Africa, at Vodacom Group. I have had a great time here at home, learnt a lot and grew tremendously personally and professionally.
Thanks to all of you for the support and encouragement as I went about my daily activities here.
I will continue to keep in touch and keep sharing my various adventures whenever I go and get stories worth sharing with you.
Remember, no matter who you are or where you come from, if you dare to dream, the world is truly your centre stage.
Love,
Mwamvita"
Mwamvita alipokwenda kumuaga Waziri Mkuu Mh. Pinda ofisini kwake wiki iliyopita....
"Friends,
On the 1st of September 2012, I will officially start a new wave of my career in Johannesburg South Africa, at Vodacom Group. I have had a great time here at home, learnt a lot and grew tremendously personally and professionally.
Thanks to all of you for the support and encouragement as I went about my daily activities here.
I will continue to keep in touch and keep sharing my various adventures whenever I go and get stories worth sharing with you.
Remember, no matter who you are or where you come from, if you dare to dream, the world is truly your centre stage.
Love,
Mwamvita"
Hiyo ni a MUSTHaka kademu kasanii sana kana urafiki na vigogo kibao mpaka rostam azizi fisadi naona kamempa boss moja wa voda ndo maana kakapewa hiyo deal.
Mwamvita alipokwenda kumuaga Waziri Mkuu Mh. Pinda ofisini kwake wiki iliyopita....
"Friends,
On the 1st of September 2012, I will officially start a new wave of my career in Johannesburg South Africa, at Vodacom Group. I have had a great time here at home, learnt a lot and grew tremendously personally and professionally.
Thanks to all of you for the support and encouragement as I went about my daily activities here.
I will continue to keep in touch and keep sharing my various adventures whenever I go and get stories worth sharing with you.
Remember, no matter who you are or where you come from, if you dare to dream, the world is truly your centre stage.
Love,
Mwamvita"
endeleeni kupiga domo hapo...
mwenzenu ndo anapepea ivo...
fait na ww kivyako!