johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Nabii na Mtume Mwamposa amesema Watanzania wanatakiwa wajikite kwenye kufanya KAZI kwani Dunia inazidi kutuacha nyuma
Hakuna sababu ya kukesha mitandaoni kuangalia Habari za hovyo hovyo na zisizofaa badala ya kufanya KAZI, amesisitiza Mtume
Tanzania inaongoza Duniani kwa Watu wake kuangalia Habari zisisofaa Mitandaoni, ameeleza Mtume Mwamposa
Nawatakia Dominica Njema 😄
Hakuna sababu ya kukesha mitandaoni kuangalia Habari za hovyo hovyo na zisizofaa badala ya kufanya KAZI, amesisitiza Mtume
Tanzania inaongoza Duniani kwa Watu wake kuangalia Habari zisisofaa Mitandaoni, ameeleza Mtume Mwamposa
Nawatakia Dominica Njema 😄