The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,312
- 20,330
Reginald Mengi, kila siku unajifanya kulia lia una uchungu unafanya mzalendo kumbe kampuni yako inafanya ushenzi huu kwa Watanzania siku ukipewa kitalu cha gesi itakuwaje.
We jamaa ni kilaza sana, sasa hapo mengi anahusika vipi? Hao siyo wafanyakazi wa coca cola, ni wafanyakazi wa hiyo kampuni inayoitwa chaguo
Mda mwingine ni bora kukaa kimya kuficha ujinga wako