Mwambie x wako

Mwambie x wako

Hapa naona M wote wanampango wa ku rematch game na kuwataka tena lakini hawa F kila mmoja anajifanya hana haja mara hivi mara vile bla bla nyingi..

Kwa hili napata kitu hapa inawezekana kawa % kubwa M ndio huwaacha wenzio, ndio maana F hawana hamu tena yakurudiana
 
inategemea mliachana kwa vipi, kama mliachana kwa wema na bado mnawasiliana tu vizuri utamwambia NAKUMBUKE LILE PENZI LAKO LA SIKU ILE PALE..., Kama mliachana kwa taharuki na hamuwasiliani utamwambia NIMEKUSAMEHE SINA KINYONGO NA WW
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom