Mwamba huyu hapa

Mwamba huyu hapa

Msimu uliopita baada ya Chadrack Boka kuwa majeruhi, Nickson Kibabage ndiyo alikuwa mbadala wake! jambo ambalo liliifanya Yanga kuwa dhaifu sana kwenye huo upande.
Upande wa kulia nao Yao Kwasi alipoumia, tulishuhudia Dennis Nkane naye akichezeshwa kwenye hiyo namba! Na yeye alikuwa ni uchochoro tu!

Hivyo kwa usajili wa beki mwenye nidhamu na uzoefu kama Mohamed Hussein (Zimbwe Jr), utakuwa ni msaada mkubwa sana kwa timu ya Wananchi.
Rai yangu kwa viongozi; wahakimishe Israel Mwenda naye anabaki ili kumpa changamoto Yao Kwasi aliyekuwa majeruhi kwa muda mrefu.

Natambua kuna watu watauponda huu usajili! Ila kwa sisi ambao tumewahi kucheza na pia kuwa makocha, tunatambua fika siri ya mafanikio ya Yanga kwa miaka kadhaa sasa imejificha kwenye eneo hili la kusajili wachezaji wa kujazia mapengo yaliyo jitokeza wakati wa msimu.

Hongereni sana uongozi wa timu ya wananchi Young Africans 💛💚💪
Nauona tena ubingwa msimu huu. Siyo kwa hiki kikosi mlicho kisuka.
Unahalalisha unafki wenu.
 
Mbona risala ndeeefuu kujielezea?
Tulikubaliana ni mzee
Hakuna mchezaji wa simba anaeanza kikosi cha kwanza...
Ili mprove hyo kauli yenu mkamuweka Chama benchi
Mkude benchi
Na huyu mkomavu wa miaka 11 mtamuweka benchi mummalize...
Wenye akili ni 2 huko..
Usajili wa kukaa benchi mnamkomoa nani sasa....
Ulikubaliana na nani kama Zimbwe Jr ni mzee! Yanga inafanya usajili kwa ajili ya kukidhi malengo yake ya msimu mzima, na siyo kwa ajili ya kumfurahisha mtu.
 
Ulikubaliana na nani kama Zimbwe Jr ni mzee! Yanga inafanya usajili kwa ajili ya kukidhi malengo yake ya msimu mzima, na siyo kwa ajili ya kumfurahisha mtu.
Msyuuu kuleni makapi hayo...matapishi
 
Simba ndiyo timu bora Tanzania na Afrika. Bila kuitaja Simba huwezi kuifanya timu yako kujulikana Tanzania na Afrika.
Hii habari ilikuwa inahusu Yanga tu ila kwa kuwa Yanga ni timu mbovu lazima waitaje Simba
GSM: Yanga bingwa
Mo: Nawadai simba bilioni 87
View attachment 3433208
Huwa najiuliza Yanga imechukua kombe misimu 4 ila ukija kwenye timu bora za Afrika Simba ipo juu kuliko Yanga.
Unafunga timu magoli 4 mpaka 5 ligi kuu halafu ukija kwenye kombe la mabingwa unaishia makundi na uliyemfunga 5 anaenda mpaka makundi
 
YANGA tunajua kukera na hatuna jambo dogo huu msimu mpya muwe tayali Mashabiki kununua jezi 🤣🤣

JEZI IMEANDIKWA NAWADAI SIMBA Bilioni 87.

Mtanunua au?
Yanga ni timu mbovu kama huamini Google timu bora Afrika ndiyo utajua.
Ili timu yako mbovu ijulikane lazima utaje timu bora hata kama habari zinahusu timu yako lazima utaje jina la timu bora ili habari ya timu yako iweze kusomwa na kusikika.
Hii habari ilikuwa inahusu timu mbovu ili habari iweze kutrend lazima utaje timu bora😀😀😀😀
 
Sawa timu Bora. Deni Bilioni 87 na msim wa 4 kombe O nikuulize YANGA AJAWAI KUWA JUU YA SIMBA CAF ???
 
Poleni kwa maumivu ya kumpoteza nahodha wenu kwa wababe wenu Yanga. Upande wa kulia Izrael Mwenda, upande wa kushoto ni Zimbwe Jr! Mtaelewa tu.
Mimi ni nani niharibu furaha yako? Nimekuita tu mnafki maana unajua fika ndivyo mlivyo pale mnapoiongelea Simba na wachezaji wake ila sikuzuii kufurahi. Furahi mwanangu.

Ila inabidi ujue na mimi nimefurahi sana Zimbwe kuondoka Simba.
 
Msimu uliopita baada ya Chadrack Boka kuwa majeruhi, Nickson Kibabage ndiyo alikuwa mbadala wake! jambo ambalo liliifanya Yanga kuwa dhaifu sana kwenye huo upande.
Upande wa kulia nao Yao Kwasi alipoumia, tulishuhudia Dennis Nkane naye akichezeshwa kwenye hiyo namba! Na yeye alikuwa ni uchochoro tu!

Hivyo kwa usajili wa beki mwenye nidhamu na uzoefu kama Mohamed Hussein (Zimbwe Jr), utakuwa ni msaada mkubwa sana kwa timu ya Wananchi.
Rai yangu kwa viongozi; wahakimishe Israel Mwenda naye anabaki ili kumpa changamoto Yao Kwasi aliyekuwa majeruhi kwa muda mrefu.

Natambua kuna watu watauponda huu usajili! Ila kwa sisi ambao tumewahi kucheza na pia kuwa makocha, tunatambua fika siri ya mafanikio ya Yanga kwa miaka kadhaa sasa imejificha kwenye eneo hili la kusajili wachezaji wa kujazia mapengo yaliyo jitokeza wakati wa msimu.

Hongereni sana uongozi wa timu ya wananchi Young Africans 💛💚💪
Nauona tena ubingwa msimu huu. Siyo kwa hiki kikosi mlicho kisuka.
Mkuu kwani hauna habari kwamba Israel Mwenda amesign rasmi Yanga?
 
Back
Top Bottom