Ni kama ulinganisha baikeli na pikipiki mkuu.Ebu tusaidiane hv kati ya mwalimu wa sayansi sekondari na engeeneer nani ana fursa nyingi za kumake mkwanja nje ya mshahara.
Lakini ile contract ya umeme au maji atakayo pata engineer siyo sawa na ada ya tuition mkuu.suala la kuwa na kipato kikubwa nje ya mshahara ni akili tu ya mtu kujua kujiongeza
Inategemea idadi ya wanafunzi na kiasi anachotoza mwalimu kwa kila mwanafunzi.Lakini ile contract ya umeme au maji atakayo pata engineer siyo sawa na ada ya tuition mkuu.
kama ameajiriwa basi hana tofauti na mwalimu lakini kama ni kampuni yake mwenyewe ndo inachukuwa tenda basi atakuwa amepga bao mwalimuLakini ile contract ya umeme au maji atakayo pata engineer siyo sawa na ada ya tuition mkuu.
Tunaongelea kipato baada ya kazi mkuu.kama ameajiriwa basi hana tofauti na mwalimu lakini kama ni kampuni yake mwenyewe ndo inachukuwa tenda basi atakuwa amepga bao mwalimu
ukizungumzia kipato ni ww mwenyewe kujua kujiongeza hauwezi ukategemea mshahara pekeeTunaongelea kipato baada ya kazi mkuu.
Mwalim akihitim ajira ni fasta, ila engineer atazunguka na bahasha ya kaki mpaka ibadilike rangi na kuwa nyeusi akitafta ajiraEbu tusaidiane hv kati ya mwalimu wa sayansi sekondari na engeeneer nani ana fursa nyingi za kumake mkwanja nje ya mshahara.
Mwalim akihitim ajira ni fasta, ila engineer atazunguka na bahasha ya kaki mpaka ibadilike rangi na kuwa nyeusi akitafta ajira
Mwalim akihitim ajira ni fasta, ila engineer atazunguka na bahasha ya kaki mpaka ibadilike rangi na kuwa nyeusi akitafta ajira
Umesomea wapiEngineer hata mshahara wake ni mkubwa kuliko mwalim wa sayans maana mwalim mshahara anaanza na TGS D lkn engineer anaanza na TGS E. Afu engineer ana posho nying lkn mwalim izo posho atakutana nazo labda wakat wa mitihan ya kitaifa mimi nina diploma ya mechanical engineer lkn mwalim wa sayans hanigus kwa mshahara wala kwa posho mpaka rafiki angu mwalim mwaka huu kaaply kusoma engineering abadilishe field