Mwalimu wa Sayansi Secondary vs Engineer

Mwalimu wa Sayansi Secondary vs Engineer

Engineer hata mshahara wake ni mkubwa kuliko mwalim wa sayans maana mwalim mshahara anaanza na TGS D lkn engineer anaanza na TGS E. Afu engineer ana posho nying lkn mwalim izo posho atakutana nazo labda wakat wa mitihan ya kitaifa mimi nina diploma ya mechanical engineer lkn mwalim wa sayans hanigus kwa mshahara wala kwa posho mpaka rafiki angu mwalim mwaka huu kaaply kusoma engineering abadilishe field
Mkuu unanipa mzuka saana ndo nimetoka kuchukua kadiploma ka electrical engineering hapa nipo kitaa naangalia usawa GPA isiposoma 3.5 tutakutana mjini ntakutafuta unipe maujanja
 
Basi kuna sehemu nyingine mwalimu mwenye degree analipwa 1.5M

Ukilinganisha vitu nadhani utumie criteria ambayo ni common,huwezi kuwalinganisha mmoja akiwa private mwingine government
Sasa ukimkuta engineer mwenye diploma yuko private sector ndo utaficha USO wako kabisaa watu wanalipwa 1.8 M walimu kwa engineering bado ingawa nawaheshimu saana walimu bila wao tusingefika hapa
 
Weeee hata kama kaajiriwa hebu nitajie Engineer yoyote anayelipwa chini ya million nchi hii? Halafu nitajie mwalimu mmoja tu wa shule ya serkali anayelipwa million ukishindwa bora ukae kimya!
jamani....waraka wa last year naona mnaongea tu...
1470204225429.jpg
 
Engineer wa kitu gani kwanza? Engineering ni kubwa mno, wapo wanaotengeneza pesa kuliko walimu na wapo pia ambao wanatengeneza less. Chache kubwa inamfavour engineer kwa kua ana uwanja mpana, mwalimu wa sayansi sekondari kwa Tanzania kama sio kuajiriwa labda awe na tuition, wapo walimu wanafundisha tuition peke yake Dar na wanatengeneza 30M+ kila mwaka. Ingekua nchi zilizoendelea story ingekua tofauti, mfano South Korea kuna walimu wanaingiza hadi Tshs.4Billion kwa mwaka sio engineers wote wanaweza fika hapo.

TLDR, inategemea na mtu ila situation inam~favor engineer kuliko mwalimu, wabongo hawapendi kusoma.
 
Basi kuna sehemu nyingine mwalimu mwenye degree analipwa 1.5M

Ukilinganisha vitu nadhani utumie criteria ambayo ni common,huwezi kuwalinganisha mmoja akiwa private mwingine government
TATZO LA WABONGO WANAJUA KUKLEMISHA TU HATA MADAKTARI MISHAHARA YAO YAKAWAIDA SANA
 
MTOA MADA ANASEMA NJE YA MSHAHARA NANI ANAPIGA MKWANJA HEBU KUWENI WAELEWA KABLA HAMJAJIBU NDIO MAANA MNAFELI MITIHANI HIVI HIVI
 
Mbona hiyo imeanzia TGS E wakat mwalim wa bacherol anaanzia na TGS D hiyo TGS E mpaka apande madaraja
Mkuu nimejibu post namba 39..mtu povu linamtoka eti hakn mhandasi anayelipwa chini ya milion moja na hakuna mwalim anayelipwa milioni Tanzania
 
MTOA MADA ANASEMA NJE YA MSHAHARA NANI ANAPIGA MKWANJA HEBU KUWENI WAELEWA KABLA HAMJAJIBU NDIO MAANA MNAFELI MITIHANI HIVI HIVI



kweli wametoka nje ya mada swali ni nani ana dili nyingi nje ya ajira.
 
Uhandisi ni Taaluma ya pili kwa kupokea hela ndefu na dili kibao nje ya kazi nafikiri Siasa ni ya kwanza kwa kuingiza hela then waleta doctors Na wahasibu mwalimu hata askari tyu anamfunika haswa hawa trafiki
Kumbuka kuna walimu wanafundisha mpaka shule tano,na kila shule achukui chini ya lak 7
 
Engineer hata mshahara wake ni mkubwa kuliko mwalim wa sayans maana mwalim mshahara anaanza na TGS D lkn engineer anaanza na TGS E. Afu engineer ana posho nying lkn mwalim izo posho atakutana nazo labda wakat wa mitihan ya kitaifa mimi nina diploma ya mechanical engineer lkn mwalim wa sayans hanigus kwa mshahara wala kwa posho mpaka rafiki angu mwalim mwaka huu kaaply kusoma engineering abadilishe field
Hivi walimu na ma engineer wote ni TGS?
 
kama ameajiriwa basi hana tofauti na mwalimu lakini kama ni kampuni yake mwenyewe ndo inachukuwa tenda basi atakuwa amepga bao mwalimu
na kumbuka kuna walimu wenye shule zao
Kama Mbowe wa mbezi beach
 
Back
Top Bottom