Nimesomea DITUmesomea wapi
Nimesomea DITUmesomea wapi
Ok MkuuNimesomea DIT
Nimesomea DIT
Engineer hata mshahara wake ni mkubwa kuliko mwalim wa sayans maana mwalim mshahara anaanza na TGS D lkn engineer anaanza na TGS E. Afu engineer ana posho nying lkn mwalim izo posho atakutana nazo labda wakat wa mitihan ya kitaifa mimi nina diploma ya mechanical engineer lkn mwalim wa sayans hanigus kwa mshahara wala kwa posho mpaka rafiki angu mwalim mwaka huu kaaply kusoma engineering abadilishe field
Mwalim mwenye bacherol hamfikii mtu mwenye diploma ya engineeringUnamaanisha mwalimu wa sayansi mwenye diploma kama wewe sio?
Mwalim mwenye bacherol hamfikii mtu mwenye diploma ya engineering
Ni kutokana na sehem mfano ninapofanya kaz mwenye diploma ya eng anaanza kulipwa 960k na allowance ya nyumba, chakula na usafirScale ya engineer mwenye diploma ni ipi?Ili tulinganishe
Ni kweli kabisa halafu waalimu wa Bachelor's wengi hawana competence Kubwa kama Waalimu wa DiplomaMwalim mwenye bacherol hamfikii mtu mwenye diploma ya engineering
Ni kutokana na sehem mfano ninapofanya kaz mwenye diploma ya eng anaanza kulipwa 960k na allowance ya nyumba, chakula na usafir
Naomba nijue umri wako tafadhaliEbu tusaidiane hv kati ya mwalimu wa sayansi sekondari na engeeneer nani ana fursa nyingi za kumake mkwanja nje ya mshahara.
Kwan me nimekwambia private government jaribu kuulizia sehem kama tanesco mtu mwenye diploma ya engineering analipwa sh ngap au na tanesco ni private?Basi kuna sehemu nyingine mwalimu mwenye degree analipwa 1.5M
Ukilinganisha vitu nadhani utumie criteria ambayo ni common,huwezi kuwalinganisha mmoja akiwa private mwingine government
Kwan me nimekwambia private government jaribu kuulizia sehem kama tanesco mtu mwenye diploma ya engineering analipwa sh ngap au na tanesco ni private?
Uongo wako peleka vijijini huko..mm nina wanangu kibao wana hizo diploma wqko halmashauri ukiondoa vdeal vya hapa na pale..wanalia njaa vbaya na mishahara isiyofka nusu milioni kwa mwezi...labda km private sector bt mwalm wa sayansi degree shule km jtegemee wanalamba mpka 1.5..Mwalim mwenye bacherol hamfikii mtu mwenye diploma ya engineering
Uongo wako peleka vijijini huko..mm nina wanangu kibao wana hizo diploma wqko halmashauri ukiondoa vdeal vya hapa na pale..wanalia njaa vbaya na mishahara isiyofka nusu milioni kwa mwezi...labda km private sector bt mwalm wa sayansi degree shule km jtegemee wanalamba mpka 1.5..
Mkuu posho ya engineer inaweza kumlipa mshahara wake huo wa 1.5m kila mwezi.Basi kuna sehemu nyingine mwalimu mwenye degree analipwa 1.5M
Ukilinganisha vitu nadhani utumie criteria ambayo ni common,huwezi kuwalinganisha mmoja akiwa private mwingine government
Soma post namba 34Uongo gani
Kwani private sio sehemu?Nisome tena unielewe usikurupuke
Uongo wako peleka vijijini huko..mm nina wanangu kibao wana hizo diploma wqko halmashauri ukiondoa vdeal vya hapa na pale..wanalia njaa vbaya na mishahara isiyofka nusu milioni kwa mwezi...labda km private sector bt mwalm wa sayansi degree shule km jtegemee wanalamba mpka 1.5..
Weeee hata kama kaajiriwa hebu nitajie Engineer yoyote anayelipwa chini ya million nchi hii? Halafu nitajie mwalimu mmoja tu wa shule ya serkali anayelipwa million ukishindwa bora ukae kimya!kama ameajiriwa basi hana tofauti na mwalimu lakini kama ni kampuni yake mwenyewe ndo inachukuwa tenda basi atakuwa amepga bao mwalimu