Hiyo ni kama posho sio mshahara kwa sababu anaajiriwa na Shule husika( volunteer)Posho au mshahara?. Mshahara kiasi gani?
Laki 5 tu.Posho au mshahara?. Mshahara kiasi gani?
Hii Uruwira si ipo karibu na Kanoge?Kama Kuna mtu amesomea masomo tajwa hapo juu, anahitajika kufundisha shule ya sekondari URUWIRA
Shule ni ya serikari ipo wilayani MPANDA mkoani KATAVI
NB Posho 150000
Accomodation, na Breakfast ni free
Piga 0754576401/ 0658576401
Ipo njiani kama unaelekea Inyonga ukiwa unatoka Nsimbo sec
Kabla ya Ugala?Ipo njiani kama unaelekea Inyonga ukiwa unatoka Nsimbo sec
Nsimbo sio wilaya ni halmashauli,
Shule ya serikali io mkuu onhoooPosho au mshahara?. Mshahara kiasi gani?
Hapo maana yake jamii ndio imejichanga serikali imeshindwa kupeleka walimu wa hayo MASOMO huko....Posho au mshahara?. Mshahara kiasi gani?
Yupo hapa ni fizi na kemia vip?Kama Kuna mtu amesomea masomo tajwa hapo juu (physics na mathematics), anahitajika kufundisha shule ya sekondari URUWIRA
Shule ni ya serikari ipo wilayani MPANDA mkoani KATAVI
NB Posho 150000
Accomodation, na Breakfast ni free
Piga 0754576401/ 0658576401
Nsimbo kule katumba waliko wakimbizi watanzania warundi ama. Unapiga huko waenda ugallaIpo njiani kama unaelekea Inyonga ukiwa unatoka Nsimbo sec
150k kijijini? Labda kauzu!Hiyo ni kama posho sio mshahara kwa sababu anaajiriwa na Shule husika( volunteer)
😄😄😄 Si ataenda nunua utamu bei ya mtaa ni elf 3/5.Yaani mtu umlipe 150k, mchana na usiku ajitafutie chakula, aweke vocha na mahitaji mengine madogo madogo... Atapata hata hela ya kuhonga kweli au mnataka abake watoto wetu... Sa si Bora awe bodaboda tu sasa