Mwalimu wa kufundisha Kiswahili online

Mwalimu wa kufundisha Kiswahili online

Fibanochi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2018
Posts
476
Reaction score
1,024
Habari wana jamvi, kama kichwa cha habari kinavyosema, kuna jamaa yangu (si Mtanzania) anahitaji mwalimu (professional) wa kufundisha kiswahili kwa njia ya mtandao, kutakuwa na makubaliano ya sessions na malipo ni maelewano.

Mwanamke atapewa kipaumbele zaidi, lakini awe na lengo la kufundisha zaidi na siyo kuwa na matarajio mengine.

Kwa aliye tayari anicheki chemba.
 
Habari ndg yangu, naitwa mwl Michael. Ni member hapa jamii forum, nina degree ya ualim na moja ya masomo yangu ya kufundishia ni Kuswahili na Historia, nimefundisha somo la kiswahili kwa muda wa miaka sita ktk shule za sekondari, nakuomba sana tena sana unisaidie kunipa hiyo connection yakumfundisha huyo mtu lugha ya Kiswahili. Maisha kusaidiana ndg yangu na sisi vijana huinuana kwa kupeana connection. Napatikana kwa namba 0654973754. Pia no hiyo ipo whatsap, asante ndg yangu!
Usipende kuexpose taarifa zako hapa jukwaani
 
Habari wana jamvi, kama kichwa cha habari kinavyosema, kuna jamaa yangu (si Mtanzania) anahitaji mwalimu (professional) wa kufundisha kiswahili kwa njia ya mtandao, kutakuwa na makubaliano ya sessions na malipo ni maelewano.

Mwanamke atapewa kipaumbele zaidi, lakini awe na lengo la kufundisha zaidi na siyo kuwa na matarajio mengine.

Kwa aliye tayari anicheki chemba.
Wewe hiyo kazi huiwezi, au hujui Kiswahili au analipa peanuts. Niko tayari lakini bei yangu ni $45 kwa saa? Kama atalipa hizo nijulishe nikutafute.
 
Wewe hiyo kazi huiwezi, au hujui Kiswahili au analipa peanuts. Niko tayari lakini bei yangu ni $45 kwa saa? Kama atalipa hizo nijulishe nikutafute.
Shida sio kujua Kiswahili tatizo ni taaluma ya kufundisha kitenzi kishrikishi mkubwa wee !!!..
 
Back
Top Bottom