said jaffary
Member
- Aug 31, 2012
- 8
- 2
Mwalimu alikuwa anafundisha somo la Geography bahati mbaya chaki ikadondoka chini hivyo akaona ainame na kuiokota mara akajamba kwa kuona aibu kwa wanafunzi akatoka darasani na kurudi nyumbani ambako aliamua kuchukua likizo ya siku saba ili wanafunzi waweze sahau tukio lilitokea. Mara baada ya likizo kwisha akarejea darasani na kuanza fundisha kabla ya kuanza topic impya akawauliza wanafunzi wamkumbushe pale alipoishia, wanafunzi wakamwambia ni pale alupo jamba mwalimu!!!!!!!!!!!!!!!!