Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,917
- 6,536
- Thread starter
-
- #81
Kwenye huu Uzi ameandika bhana! Haongei.sema mkuu unazungumza kama baba yako
Weka pich yake hapaIt is strange.
Huyu mlinzi anayeniambia,"We,njoo hapa upate fundisho,njoo hapa sasa hivi upate fundisho ,Kwa nini unaogopa,njoo hapa,kama we mbabe. Njoo hapa nikupe fundisho.
Huyu mlinzi anayezungumza hivyo anazo one BILLION shillings kwenye bank account yake.
Unaelewa sasa kwa nini hawa watu wanashtakiwa ICC.
Ni watu wa ovyo .
Na sasa hivi hakuna haja ya kuuliza yuko wapi.
Kwa sababu yuko benki ana cash hela zake. Leo kapata bingo.
Kwa sababu huyu ni mtu ambaye kila baada ya miezi mitatu anashinda bahati nasibu ya taifa
Nilijua umemsindikiza Mama yako kwenda Angola kufungua Hospitali kumbe ww umeenda Butiama.Hakuna kibaka atanidhuru kwa sababu nimemwita kibaka.
Kama hataki nimwite kibaka aache kuwa kibaka.
Commander Hatonn anasema let us work according to the laws of God and the laws of the politicians.
Anasema even the most evil ruler on Earth will change to Good if you keep on insisting on your rights.
Niko hapa.Nilijua umemsindikiza Mama yako kwenda Angola kufungua Hospitali kumbe ww umeenda Butiama.
Rock crystal nimesema.Rock crystal
View attachment 3641097
🤔Nimeota sasa hivi kwamba naishi hostel lakini nimekwenda Kwa Putin for supper.
Niko pale na vitukuu vingi vya Putin.
To make this story short,I hope ndege ya Samia inavyorudi toka Luanda itatuwa salama.
Hasa kwenye kutuunganisha na mabazazi wa Zanzibar ambao sasa wabatutawala kwa kutusulubu, kutudhalilisha, kupora mali zetu na kutubagaza.Mwalimu hakua na foresight kwa hakika..yule mzee amelifelisha sanaa taifa kwa sera zake za ujamaa na siasa za kuogopa dola
Ume muona kwanza kaka ako uko angola au una zua taharukiHuyu jamaa kanitumia msg sasa hivi anasema nimpe laki tano aanzishe biashara.
Sina laki tano lakini nimemtumia hela ya chai.
Na huyu ndiye wa kwanza na wa mwisho.
I am not doing this again.
But you are right.
Nikikosa hela ya kumnunulia pipi chekechea najidikia vibaya sana.