Si kweli labda hausikilizi hotuba zake ,kuna moja alisema kila akitaka kujiuzulu wasaidizi wake walikuwa wanamwambia endelea mwalimu ila akaja kugundua wale wasaidizi walikuwa wanamwambia vile kutokana na maslahi yao binafsi.
Nyerere hakuwa FISADI na kama angekuwa FISADI angekuwa na utajiri kuzidi hata aliokuwa nao MOBUTU SESSESEKO KUKU WAZABANGA hadi anajiuzulu alikuwa na nyumba za kawaida pale msasani zile kama za wakazi wa bagamoyo...Nyerere amejengewa nyumba mwaka 1999 tena alikuwa haitaki.