Ni siku nyingi sijakuwepo ktk safu hii, hivyo sijuwi hii kama ilishawekwa au laa.
Mwalimu kauliza darasani: "kwanini tunasema mapenzi ni bora kuliko vita?"
Mwanafunzi mmoja akanyanyuka na kujibu: "sababu condom ni bei rahisi kuliko bunduki"
Jamani kwani kuna siri? Si hata ktk radio tunasikia kuwa paketi ya Dume ni T shs 300/- (kama sijakosea) na ile bunduki ya toys kama huna buku 5 utaishia kupata ile iliyo mbaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.